Nani mmiliki halali wa Clouds Media Group?

Nani mmiliki halali wa Clouds Media Group?

Hoja uliyotoa ni ipi zaidi ya kum attack mtu bila grounds zozote? We utakuwa na matatizo ya akili. Una kichwa kigumu sana kuelewa na hilo ni tatizo la mitoto kuzaliwa na baba shoga. So sio kosa lako pole sana
teh teh teh

Villaza bana mna poor thinking capacity kubwa mno.

Nimekusetia ground ya defense umeingia 18 ukajaa, nimekupigia ngoma ya personal attack umeanza kuzungusha mauno tayari.

Pole sana dogo, siku nyingine ukianzisha ligi na mtu anayekuzidi akili kuwa makini usianze kuchezeshwa defense.

Msalimie dada yako mkubwa, mwambie soon naleta possa hapo, nataka kuongeza mke wa pili, dini inaruhusu.

Jifunze kujenga hoja na kuitetea hoja, na jifunze pia kutokuchezeshwa defense mode unapobishana na mtu.
Huo ni ushauri wa bure nakupa, uchukue utakusaidia sana kwenye life yako hapa JF.
 
Ruge bwana, kelele nyingi kwenye semina za fursa vijana wajiajiri kumbe yeye mwenyewe anatubu kwa Kusaga.
 
Clouds Media Groud ni Mali ya Kusaga's Family mwanzilishi wa Clouds Media ni Marehemu mzee Kusaga.. Joseph Kusaga anasimamia ... Ndio maana kwenye uongozi ipo ivi Joseph Kusaga.. Alafu Shebba Kusaga alafu wanafuata ao akina Ruge alafu kuna Alex Kusaga na God Kusaga.. Erick Kusaga alikuwepo ila wakamchanganya akaondoka yuko RFA.. Ova
Yeah ni mradi wa Marehemu mzee Kusaga na hivyo familia ya Mzee Kusaga hasa ndiyo wamiliki na ndiyo Wakurugenzi wenye Final say.
Ruge ni Meneja muendeshaji. Sina hakika kama anaingia kwenye board au la maana inategemea na mchango wake kwenye kampuni.
Nikijibu Fiesta, hii zamani miaka ya mwanzoni lilikua ni tamasha fulani hivi likiitwa SUMMER JAM, ni miaka ya mwanzoni mwanzoni 2001. Kama mtakumbuka Mwanamuziki Robert Kelly alitoa wimbo uitwao Fiesta na ulikuwa na vionjo vya tamasha. Hapo ndipo ilibadilishwa jina na kuitwa Fiesta na hadi leo Summer Jam watu hawalikumbuki tena. Ila kwangu Summer Jam lilikua jina zuri kuliko Fiesta ya R.Kelly!
 
Clouds Media Groud ni Mali ya Kusaga's Family mwanzilishi wa Clouds Media ni Marehemu mzee Kusaga.. Joseph Kusaga anasimamia ... Ndio maana kwenye uongozi ipo ivi Joseph Kusaga.. Alafu Shebba Kusaga alafu wanafuata ao akina Ruge alafu kuna Alex Kusaga na God Kusaga.. Erick Kusaga alikuwepo ila wakamchanganya akaondoka yuko RFA.. Ova
Daah, kweli hii ndo JamiiForums aisee, Watu mpo kutunga uongo hata kwa kile msichokijua. Daaaah, Masikini Nchi yangu.
 
Back
Top Bottom