Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,952
Aseee naona linawekewa tunyota nyota[emoji45] [emoji45] [emoji45] [emoji45]Hivi neno ****** ni tusi???
Aseee naona linawekewa tunyota nyota[emoji45] [emoji45] [emoji45] [emoji45]Hivi neno ****** ni tusi???
Sasa mbona kama anaonekana kama ndie mmiliki pia anatumia cheo chake kufanya uzinzi ofisini kwakeRuge ni mwajiliwa, clouds ni ya familia ya marehemu Mzee kusanga alikuwa BIMA zamani
Kwani kwa sasa mmiliki ni Rostam aziz na sababu zilizopelekea kufikia hapo ni zipi?Clouds media ilikuwa inamilikiwa na Kusaga family mpaka kufikia 2012/13 ikanunuliwa na Rostam Aziz ( Caspian) lakini Management ikabaki kama ilivyokuwa ila directors wote wakahamia Caspian head quarter Dubai. Uuzwaji huu haukutangazwa lakini naujuwa binafsi kutokana na watu wangu wa karibu na Caspian.
Ahahahaaaaaah! Wacha nicheke mie.Cv za zinakuwashia nini?
Anza kushare yako
Huyo ana nyumba yake mtaa wa AMRI ABEID ambayo imeungana na mtaa wa pili wa MAKONGORO nyumba namba nane.Ruge ni mwajiliwa, clouds ni ya familia ya marehemu Mzee kusanga alikuwa BIMA zamani
Unapenda kujichekesha, je wewe ni ME or KE kama ni ME basi nawasikitikia sana wazazi wakoAhahahaaaaaah! Wacha nicheke mie.
Kwa sasa inamilikiwa na Rostam. Sababu ni biashara tu.kwahi kwa sasa mmiliki ni rostam aziz na sababu zilizopelekea kufikia hapo ni zipi?
ruge ni zaidi ya mwajiriwa clouds... ruge halipwi mshahara na mtu pale clouds.. ni mmojawapo ya owner... na ndie alieifikisha clouds ilipo now
Usipende kukariri mambo mkuu.Definition of propagation. : the act or action of propagating: as a : increase (as of a kind of organism) in numbers b : the spreading of something (as a belief) abroad or into new regions c : enlargement or extension (as of a crack) in a solid body.
Kwa hapo tu inaonyesha ur allegations ni unfounded and untrue
Hiyo uliyotoa nayo ni hoja? Nisipende kukariri nini?Usipende kukariri mambo mkuu.
Judith Kusaga umemsahauClouds Media Groud ni Mali ya Kusaga's Family mwanzilishi wa Clouds Media ni Marehemu mzee Kusaga.. Joseph Kusaga anasimamia ... Ndio maana kwenye uongozi ipo ivi Joseph Kusaga.. Alafu Shebba Kusaga alafu wanafuata ao akina Ruge alafu kuna Alex Kusaga na God Kusaga.. Erick Kusaga alikuwepo ila wakamchanganya akaondoka yuko RFA.. Ova
Dogo tulia dawa ikuingie, mbona unashindwa kutuliza saburi kwenye kistuli??Hiyo uliyotoa nayo ni hoja? Nisipende kukariri nini?
Next time kama huna point ya ku argue against my post usi quote tu kijinga jinga.
Mtu mwenye akili tayari ashakuelewa unaposimamia. Hapo juu nimekuuliza ni hoja gani uliyotoa ili ujibiwe. Sasahivii unaleta maneno machafu kama KINewYorkElewaOkoka cha Mama Yako.Dogo tulia dawa ikuingie, mbona unashindwa kutuliza saburi kwenye kistuli??
Mweupe kichwani halafu unataka tusiku-quote?? We nani??
JF siku hizi imevamiwa na villaza sana, sijui kwa nini.
Watoto mliolelewa familia kila "mtoto na baba yake" mna matatizo sana.Mtu mwenye akili tayari ashakuelewa unaposimamia. Hapo juu nimekuuliza ni hoja gani uliyotoa ili ujibiwe. Sasahivii unaleta maneno machafu kama KINewYorkElewaOkoka cha Mama Yako.
Maneno ya shombo kila mtu anajua. next tym fikiri mara mbili kama ya ku reply utumbo
Watoto mliolelewa familia kila "mtoto na baba yake" mna matatizo sana.
Dogo ukiwa hapa JF jifunze kutuliza masaburi yote mawili kwenye kistuli kabla ya kuhemka.
Hoja hujibiwa kwa hoja, jenga hoja tetea hoja, si kuleta nyodo za kike mbele ya wanaume wenzio.
Kuna mabaazazi humu kama mzabzab , ukileta nyodo za kike wanakushugulikia tu.
Shauri lako.