Nani mlevi zaidi.......

Nani mlevi zaidi.......

alexmahone

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2011
Posts
482
Reaction score
406
Walevi waliokota kioo.,mlevi wa kwanza baada ya kutazama akasema.,"Hii sura si ngeni ila jina silikumbuki"..Mwenzie akakichukua kile kioo na kuangalia kisha akasema "We chizi kweli,si mimi huyu unajifanya hunijui"?
Nani mlevi zaidi hapo
 
Walevi waliokota kioo.,mlevi wa kwanza baada ya kutazama akasema.,"Hii sura si ngeni ila jina silikumbuki"..Mwenzie akakichukua kile kioo na kuangalia kisha akasema "We chizi kweli,si mimi huyu unajifanya hunijui"?
Nani mlevi zaidi hapo

wa kwanza
 
Ha ha haa, hawazidiani wote walevi kupindukia.
 
Walevi waliokota kioo.,mlevi wa kwanza baada ya kutazama akasema.,"Hii sura si ngeni ila jina silikumbuki"..Mwenzie akakichukua kile kioo na kuangalia kisha akasema "We chizi kweli,si mimi huyu unajifanya hunijui"?
Nani mlevi zaidi hapo
......

..........W
e are nearly at the end of the year... remember life is short don't break the rules; forgive quickly, kiss slowly, love truly laugh uncontrollably, and never regret anything that make you smile ......................wishing you happy new year 2013...............................
 
Back
Top Bottom