Dr.Mo
JF-Expert Member
- Mar 28, 2012
- 3,809
- 1,653
G wara wara, blue, kiba aliGnako warawara na Linex hawa ndio huifanya nyimbo iwe nzuri....
Leka dutigite bila linex ingekuwa kama ile song yao ya pili ambayo haiku hit.
G wara wara, blue, kiba aliGnako warawara na Linex hawa ndio huifanya nyimbo iwe nzuri....
Leka dutigite bila linex ingekuwa kama ile song yao ya pili ambayo haiku hit.
Mkali wa chorus atabaki kuwa Nature milele daima...
kumbe kaokoka alikua anapenda kuvaa ule mzura wake fulan hivi
Ngoja nitoe matokeo ya jumla hapa: na mshindi ni G-nako
Wakati huo hizi ipad na hizi mp3 players hazijatoka,mtu unanunua ile radio ndogo ya kuweka mfukoni na earphones zakoMi nafikiri kwa sasa kuna kina Ally Choki, Muumin, Christian Bella, Jose Mara, Chokoraa, Chalz Baba...mkuu yaani orodha ni kubwa ila hao niliowataja ndiyo wapo juu sana.
majamaa walikuwa wanajua,napenda wangefanya kazi pamoja na O-ten
Mawingu hao,hawana huruma kabisa.Wame tumia vipaji vyako kutengeneza hela halafu wakawatosa
Albamu ya Joslin ilikuwa kama ya dimond,hakuna kupeleka mbele nyimbo zote kali.Huyo Q jay na makamua ndio balaa kabisaaa