maguzumasese2005
JF-Expert Member
- May 1, 2014
- 642
- 171
Q chief
duh umenikumbusha hao vijana makamua and Q jay sijui wako wapi sasa
Mkali wa chorus atabaki kuwa Nature milele daima...
Mkuu Q Jay ni kaokoka na haimbi tena bongo fleva.
Duh ile ngoma naja ya squizer na nature inanikumbuaha mbali sana..kipindi hicho tulikuwa na ubishi na hasira ya shule mbaya dah..***** imebidi niiingie youtube niangalie ngoma za Nature alizoshirikishwa,hii kaimba na Sqeeza naja ni noma mazee
Mzee alikiba nae ni soo mbayaKiukweli juma nature na Ali kiba ndo the best of all times kwenye chorus mazee
Blue kuna chorus moja kapiga kwenye wimbo wa b.o.b- wamekaa ni noma1.nature
2.duly sykes
3.late ngwea
4.kiba
5.qchillah
6.jide
7.blue
8.tid