holy holm
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 4,670
- 8,670
Alafu akikung'ata kuna unaweza kuvuja damu mfululizo mpaka kifo chako huyu nyoka ni hatar sana sema hajabarikiwa umbo kubwa kama la king cobraMtoa mada nakusahihisha kidogo,nyoka anaeongoza kuua watu wengi si black mamba,sababu nyoka huyo mara nyingi hukimbia watu.
Nyoka anaeongoza kwa kuua watu wengi ni nyoka anaeitwa saw scaled viper,jina lake maarufu jingine ni carpet viper jina la kisayansi anaitwa echis carinatus. Kwa mujibu wa tovuti ya britannica.com,nyoka huyo ameua idadi kubwa ya watu ambayo inafidia ukijumlisha idadi ya watu waliouwawa na aina nyingine zote za nyoka.
Huyo carpet viper ni noma,naomba kama kuna mtu anlijua jina lake kwa kiswahili atuambie.