Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,490
- 7,090
Black Mamba ni chakula cha Nyegere (Honey Burger)Utakuwa humjui black mamba,
nyoka wote unaweza kucheza nao ila sio black mamba,
hanaga urafiki kabisa,
akihisi kwamba yoyote ameingia kwenye territory yake,
hakikisho la kwanza ni kukusaka hadi akupate mmalizane kwanza ndio mambo mengine yaendelee