B ndiye mama kwauwa macho yake yako kwa mtoto ikimaanisha yuko worried kuhusu mwanae anataka kuwa na hakika kuwa yuko safe wakati woteChallenge your mind.
Toa sababu kwanini A au BView attachment 1474679
mara nyingi mtoto anapenda kucheza mbele mgeni ili wamuone jinsi alivyo mahili.,au Unasemaje hapoMtoto ni wa huyo mdada aliyevaa suruali kwa sababu...
Nitarudi
- Maziwa yake yapo round kumaanisha kavaa bra ili kuyaboost maana yamelala ajili ya kunyonyesha ya mdada mwingine ni mchongoma
- Huyo mdada kavaa gauni ili aonekane kama ndio mama wa mtoto ili kutudistract sisi tukurupuke kutoa jibu. Ila mtoto ni wa huyo mwenye suruali.
- Mtoto kageuka kwa huyo mwenye suruali ili itufanye tutumie akili kubws kugundua eti mtoto ni wa mwenye gauni kwasababu mtoto hajamgeukia. Ila ukweli hapo inahitajika akili ndogo kugundua kua huyo mtoto kageuka kweli kwa mama.
Its obvious mother AChallenge your mind.
Toa sababu kwanini A au BView attachment 1474679
Umetoa sababu genuine ya mzazi, kwa mtu ambaye amewahi kuzaa/kulea atakubaliana na reasoning yako. Kwa kawaida mtoto huwa very attentive na stranger na hivyo hawezi kumpa mgongo. Naunga mkono mama wa mtoto ni A.Mtoto ni wa Mama A. Kwa sababu
1. Mtoto anajiamini sana kumpa mgongo mama yake kwani anaamini kuna usalama. Mtoto macho yake yanamwelekea asiye mama yake incase kuna madhara akimbilie kwa mama yake ambaya ni A na hivyo kufanya jumla ya macho yanayimwangalia asiye mama kuwa 4 (2 ya mama na mawili ya mtoto).
🤣🤣 Kaka naona umechoka haraka kufikiri. LolBwana eeh mambo ya msondo waachie wenyewe.
Tunaumiza vichwa kwa mambo ya CIA na ukiangalia wote wanaonekana mama wa watoto. Tusichoshane bhana ngoja tuwaachie wenye kazi zaoKaka naona umechoka haraka kufikiri. Lol