Nani mama wa mtoto huyu?

Nani mama wa mtoto huyu?

mi nahisi umeongea kitofauti.... kawaida mtoto anapenda kumuelekea mtu anayemjua kwani kihisia mtoto huwa anajiona yuko salama kukiwa katika kundi la watu yuko mtu anamfahamu. so kwa umri wa huyo mtoto bado hajajenga dhana ya kuwa atakuwa salama akimpa mgongo mtu anayemfahamu awe face to face na mtu mgeni....... hapo naona umempa IQ kubwa sana huyu mtoto kuliko umri wake. yaani umempa akili za kiukubwa... kama una mtoto mdogo angalia mkiwa mazingira mageni hawezi kumaliza dakika kadhaa hajamuangalia aliekuja nae. na yuko comforatble akiwa kamuelekea mtu anamfahamu kwa maana movment yoyote atakayoifanya huyo mtu kama vile kuondoka itamshtua. ni swala ambalo lipo naturaly.

mama wa mtoto ni B
Kongoleeee,

Wazazi tunajua haya mambo,
 
mtoto ni wa B ukiangalia hapo mtoto anacheza kwa kumuangalia mama yake ili kujiaminisha kuwa hawezi kukimbiwa maana watoto wengi wa rika kama hilo huwa na wasiwasi sana wa kukimbiwa na mama zao
 
Hayupo anaejua kazi A au B,anaeza kuwa na beki mda mwingi lakini wakiwa wote kwa pamoja mtoto anamshobokea mama kwasababu ya nyonyo na anakuwa na hamu nae.

Watoto hupenda kuonesha vitu vyao vya kuchezea au wanavyotengeneza kwa wageni ili wapate attention.
 
Watoto hupenda kuonesha vitu vyao vya kuchezea au wanavyotengeneza kwa wageni ili wapate attention.
Lakini pia kwa umri wa mtoto huyo huwa wanapendelea kucheza na watu waliowazoea.
 
Hiyo ndio tofauti yao sasa, ukiwa na mtoto mdogo huwezi kurelax ukikaa sababu muda wowote anaweza kufanya tukio la hatari, kwa mzazi ni lazima awe makini kuanzia mkao wake hadi kumtazama.

Akina mama kwa asilimia kubwa wanawajua ni wakati gani na mazingira gani mtoto anaweza kupatwa na hatari au la kuliko baba, na ndio maana anapokuwepo baba na mama pamoja na mtoto muda mwingi baba anakuwa attentive sana na mtoto kuliko mama anavyokuwa, jambo ambalo baba analion ni la hatari mama yeye anaweza kulitazama kwa namna mbili; 1 inaweza kuwa hatari lakini sio kwa kiwango cha attention alioionesha baba na 2. kutokuwepo kabisa kwa hatari na ndio maana utasikia baba anasema " mwangalie mtoto ataumia" utasikia mama anasema " hata usihofu hawezi umia bwana"
 
Akina mama kwa asilimia kubwa wanawajua ni wakati gani na mazingira gani mtoto anaweza kupatwa na hatari au la kuliko baba, na ndio maana anapokuwepo baba na mama pamoja na mtoto muda mwingi baba anakuwa attentive sana na mtoto kuliko mama anavyokuwa, jambo ambalo baba analion ni la hatari mama yeye anaweza kulitazama kwa namna mbili; 1 inaweza kuwa hatari lakini sio kwa kiwango cha attention alioionesha baba na 2. kutokuwepo kabisa kwa hatari na ndio maana utasikia baba anasema " mwangalie mtoto ataumia" utasikia mama anasema " hata usihofu hawezi umia bwana"
Sasa hapa baba ameingiaje?
Halafu unataka kusema mama hana umakini na mtoto lakini baba ndio yupo makini?
Mtoto analelewa zaidi na nani?
Wangekua hawana umakini hata me na wewe hapa tusingekuwepo.
 
Kwa jinsi mama A gauni lake lilivyobana mpaka sehemu ya shingo hawezi kuwa kama wa mtoto incase akataka kunyonya ni ngumu.

Mama B ndio mama wa mtoto, kwanza nywele amebana, shati amekunja pia amevaa suruali yuko tayari kwa mapambano ya kumzingatia mtoto kimahitaji.
 
Sasa hapa baba ameingiaje?
Halafu unataka kusema mama hana umakini na mtoto lakini baba ndio yupo makini?
Mtoto analelewa zaidi na nani?
Wangekua hawana umakini hata me na wewe hapa tusingekuwepo.
Soma tena vizuri mkuu.
 
Mama wa mtoto ni A, kwasababu mtoto anaonyesha kujiamini na kumwamini A, kwa kumpa mgongo. Pia amemgeukia B ambaye si mama yake ili amuone anachofanya huku akijiiba kumbwangalia. Pia mtoto anapenda kumwangalia sana mgeni ili ajifunze vitu vipya kwake.
 
Back
Top Bottom