Von Bismarck
JF-Expert Member
- Jul 11, 2018
- 3,075
- 6,261
Jamaa unaroho mbaya sijawai ona!
Mungu akutangulie urithi hiyo nafasi
Mungu akutangulie urithi hiyo nafasi
Prof MbarawaKifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake...
Yanafikiria vyeo. Pambana na Corona. Nenda kapate chanjo!Kifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake....
Atakuwa siyo mkristoKifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake...
Hiyo nafasi anapewa NAPE Nnauye, anafaa sanaKifo kimeonesha mwisho wa Elias Kwandikwa mbunge wa Ushetu CCM na Kama ilivyo kwa nafasi za kuteuliwa mh Rais atatakiwa kumteuwa Waziri mwingine kuziba nafasi yake...
Nyie wezi tatizoAtakuwa siyo mkristo
Shame on you mwenyewe!!!!!!Ukiitwa Mchawi utachukia? Yaani Msiba hata hauna Masaa Matatu tokea Watanzania tutangaziwe ( tutaarifiwe ) Liswahili Limoja linaacha Kusikitika na Kuomboleza Kwanza lenyewe linakimbilia Kuhoji nani atachukua nafasi yake. Shame on You..!!!
MboweSioni faida yoyote ya kuwa na waziri wa ulinzi, ikiwa hamna hata mmoja aliyewahi kuilinda nchi dhidi ya wahuni na vibaka wa CCM kama kina Sabaya, Bashite n.k
Swine.Shame on you mwenyewe!!!!!!
Tuache kuangalia maslahi ya taifa utung'ang'anize tusubiri msiba mbona issue ya hayati magufuli mama samia hakusubiri azikwe ndo awe rais.
Mtu akishakufa taifa halijafa!!!!!! Shame on you Tena.
Kwandikwa alikua kijana muungwana sana..Sijui nini kimempata...
Genta,huwa Nampa kila mtu heshima,hata wasiostahili Kama wewe. Usidhani Mimi siwezi kutukana. Matusi ninayo na Yana chumba chake kabisa yametulia. Ila kwa kuwa jukwaa hili ni la watu waliostaarabika(baadhi) inabidi nisiwakere.Swine.