Mkuu hata mazishi bado hii so sawa..Wizara ya Ulinzi ni wizara nyeti sana, inahitaji mtu mtulivu na mwenye busara sana. Kufuatia kufariki kwa Waziri wa Ulinzi wa sasa, nani anafaa kumrithi kwenye wizara hiyo?
Wampe Moe wa siroWizara ya Ulinzi ni wizara nyeti sana, inahitaji mtu mtulivu na mwenye busara sana. Kufuatia kufariki kwa Waziri wa Ulinzi wa sasa, nani anafaa kumrithi kwenye wizara hiyo?
Wizara pekee isiyokuwa na Naibu.Ile wizara ni kivuli tu cha kuhakikisha bajeti yao haiendi kwenye kampeniMarehemu hata damu haijakauka vizuri, wananchi mshaanza kupigia plan cheo alichokiacha wazi...
Nani atapewa , nani atapewa? Si kuna naibu hapo kwenye hiyo wizara?
Kwanza kwanini jeshi letu linaongozwa na wanasiasa? Mi napendekeza jeshi lisiwe na wazuri Kama kiongozi atoke muwakilishi achaguliwe na mabeyo upuuzi tuache
Mkuu hata mazishi bado hii so sawa..
Ebu kuwa na subra..
Jamani Kanda ya ziwa na kaskazini Vifo ni vingi sana. Hilo mmeliona?
Zitaendelea akishapumzishwa mkuu..Shughuli lazma ziendelee mkuu
Zitaendelea akishapumzishwa mkuu..
mtu anakufa mnagawana kwanza mali,,
taratibu za wapi izo
Ndio nisiyoyataka kwa vyovyote vile jeshi lijiongoze lenyewe lisiwe na wazuri awe ni muwakilishi toka jeshini special caseYani Mabeyo amchague Waziri afu baadae ampigie saluti?