Mabunu
Member
- Oct 17, 2012
- 33
- 13
Ndugu wanajamvi, katika jimbo la Ngara ambalo kwa sasa liko chini ya Chama cha Mapinduzi, kuna Madaktari wawili ambao wameonesha dhati kwamba wanataka kulichukua jimbo hilo kupitia CHADEMA mwaka 2015
Lakini bado napata shida sana kujua nani ni nani kati ya Makada hao wawili wa CHADEMA
Dk Gresmus Ssebuyoya, ni mwanachama wa siku nyingi wa CHADEMA na ametumia nguvu nyingi katika kuiimarisga CHADEMA wilaya ya Ngara hata vijijini
Dk Peter Bujari amehamia CHADEMA tarehe 28 December 2013 akitokea CCM ambako alipigwa chini katika kura za maoni ya ubunge mwaka 2010, lakini bado anaonekana ana mvuto sana na ushawishi kwa wananchi.
Sasa swali linakuja, je, nani anafaa kuipeperusha bendera ya CHADEMA kati ya huyu aliyekijenga chama na huyo mwenye mvuto?
Lakini bado napata shida sana kujua nani ni nani kati ya Makada hao wawili wa CHADEMA
Dk Gresmus Ssebuyoya, ni mwanachama wa siku nyingi wa CHADEMA na ametumia nguvu nyingi katika kuiimarisga CHADEMA wilaya ya Ngara hata vijijini
Dk Peter Bujari amehamia CHADEMA tarehe 28 December 2013 akitokea CCM ambako alipigwa chini katika kura za maoni ya ubunge mwaka 2010, lakini bado anaonekana ana mvuto sana na ushawishi kwa wananchi.
Sasa swali linakuja, je, nani anafaa kuipeperusha bendera ya CHADEMA kati ya huyu aliyekijenga chama na huyo mwenye mvuto?