Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,094
- 4,396
ZIMEIBIWA BILLIONS ZA EPA BENKI KUU SEMBUSE COMPUTER TPDC? WATU WASHAZOEA KUIBIWA!
On a more serious note, hizi habari umezipataje? Wewe ni mfanyakazi umeamua kuvujisha siri ya ofc au ulienda kama mgeni ukaiba habari? Tutasubiri vyombo vya usalama vithibitishe hilo. Taarifa za kiintelligensia hazitachelewa!
Usubiri taarifa za kiintelligensia Bongo hii?
Je ya EPA yalierupt frm which source?
Je hao maintelligensia walitoa support gani zaidi ya hizo info kuleak frm/by staff.
Usiwe Bongolala mkuu amuka lisemwalo linaukweli ndani yake just tafakari na uchukue hatua.