Nani kayasikia haya ya TPDC? Hatari

ZIMEIBIWA BILLIONS ZA EPA BENKI KUU SEMBUSE COMPUTER TPDC? WATU WASHAZOEA KUIBIWA!

On a more serious note, hizi habari umezipataje? Wewe ni mfanyakazi umeamua kuvujisha siri ya ofc au ulienda kama mgeni ukaiba habari? Tutasubiri vyombo vya usalama vithibitishe hilo. Taarifa za kiintelligensia hazitachelewa!

Usubiri taarifa za kiintelligensia Bongo hii?
Je ya EPA yalierupt frm which source?
Je hao maintelligensia walitoa support gani zaidi ya hizo info kuleak frm/by staff.
Usiwe Bongolala mkuu amuka lisemwalo linaukweli ndani yake just tafakari na uchukue hatua.
 
wakuu hata kama ingelikuwa kuna back up system,au iloibiwa ni copy tu ya source bado si salama kwa project kubwa zilizo tumia mabilion kwajili ya utafiti. Wenzetu mafisadi wanatumia info hizo+udhaifu wa watendaji wetu+ufisadi wao kunufaika. Kwani KGB walivyopora nuclear tech. From US ilimaanisha kuwa waliiba all pocble source na US kubaki bure? Disclosing au revealing important information kama hivi tayari ni pigo. Na mimi najiaminisha,kwa mshangao na shok iliyompata mkuu yule wakati akiletewa taarifa, si tukio dogo lile.. Anyway,labda tutapata zaidi.
 
wakuu hata kama ingelikuwa kuna back up system,au iloibiwa ni copy tu ya source bado si salama kwa project kubwa zilizo tumia mabilion kwajili ya utafiti. Wenzetu mafisadi wanatumia info hizo+udhaifu wa watendaji wetu+ufisadi wao kunufaika. Kwani KGB walivyopora nuclear tech. From US ilimaanisha kuwa waliiba all pocble source na US kubaki bure? Disclosing au revealing important information kama hivi tayari ni pigo. Na mimi najiaminisha,kwa mshangao na shok iliyompata mkuu yule wakati akiletewa taarifa, si tukio dogo lile.. Anyway,labda tutapata zaidi.
ukwelikitugani, huo ni wasiwako tuu, zingeibwa patent rights za itelectual property, ndipo ungesema ni hasara, la uibe project right up za extraction industry!?, hapa thamani kubwa haijalala kwenye write up bali kwenye implemention.

Madhalani tuseme wamegundua ile siri ya mafuta pwani ya Mtwara, sasa ndio watafanya nini?. Usiwe na wasiwasi hayo ni mambo madogo tuu, Mbona na Kilagane hawana wasiwasi hata chembe, kwa sababu life share zao kwenye miradi hii ziko very safe, wewe wasiwasi wa nini?.

Hebu subiria kufikia Mwezi Juni, utashuhudia kinachoendelea pale ufukwe wa Mikindani!.
 
Pasco, unajifanya una imani saanaa!!?!! Hivi unajua watu aina ya RA akikujua unafanya kazi sehemu yenye mafta au maslahi yake tayari hilo ni goli? Ile tu kujua kuna nini wapi,kiasi gani, tena in proven writen way,!! Karagabaho!
 
Pasco, unajifanya una imani saanaa!!?!! Hivi unajua watu aina ya RA akikujua unafanya kazi sehemu yenye mafta au maslahi yake tayari hilo ni goli? Ile tu kujua kuna nini wapi,kiasi gani, tena in proven writen way,!! Karagabaho!
ukwelikitugani, sijifanyi nina imani sana, mimi ni mkweli daima na ni ukweli, nina imani sana. Hayo madini yanayochimbwa sasa, mbona tangu wakati wa Nyerere tulishayaona?. Kwani hao wachimbaji wamevamia au tumewakaribisha?. Jee walitulazimisha au tumewapa wenyewe?.

Sasa wewe si uko hapo TPDC, hebe eleza kuhusu ghiyo siri ya mafuta na gezi ya Mtwara!. Wakati wewe unadhani ni siri, nimeshakuambia, walioigundua wameisha ipatenti kuwa ni yao, nchi yao imeshafanya maandalizi yote muhimu, nyinyi na TPDC yenu ni just rubber stamp ku ok mradi, na gesi wataichimba wao, mkataba utasema ni gezi tuu, wachimbani ni wenyewe, wahifadhi ni wenyewe, wasafirishaji ni wenyewe, nyinyi mtaambulia kuuziwa na kugaiwa peanut!. Mkataba utaonyesha wanachimba gesi, ukweli ni kuwa watachimba wese!.
Kwani kilichotokea kilichotokea Arusha kwenye ule mradi wa kuchimba bauxite ni nini?. Kila penye bauxite, chini kuna Tanzanite. Tumewapa mkataba wa kuchimba bauxite, wachimbaji ni wenyewe, wasafirishaji ni wenyewe, sisi yetu ni nini pale zaidi ya mashimo?!.

Serikali ya Chadema ingeingia Madarakani, Mhe. Zitto angeisafisha TPDC sijui mwenzetu kama ungesalimika, labda kama ungemuwahi na kujitambulisha kwake wewe ni member wa jf, ingekuwa spared.

Kuhusu TPDC naomba usizidi kuzungumza humu ukatupandisha wengine hasira, tangu mlivyoifanza TIPPER, mkajikabidhi mikononi kwa waarabu kuleta mafuta yalisafishwa kwa sasa kwenye mafuta hamna tena chenu, mpaka jengo la Mafuta House likawaaibisha, tena kama sio NSSF kuokoa jahazi, mbona mngetembea uch....

Baada ya gesi kugundulika, sasa ndio mnajifanya kuikumbatia mpate pa kutokea?, too little too late, meshawahiwa na wenye patent zao za gesi yetu!.
 
ukwelikitugani, huo ni wasiwako tuu, zingeibwa patent rights za itelectual property, ndipo ungesema ni hasara, la uibe project right up za extraction industry!?, hapa thamani kubwa haijalala kwenye write up bali kwenye implemention.

Madhalani tuseme wamegundua ile siri ya mafuta pwani ya Mtwara, sasa ndio watafanya nini?. Usiwe na wasiwasi hayo ni mambo madogo tuu, Mbona na Kilagane hawana wasiwasi hata chembe, kwa sababu life share zao kwenye miradi hii ziko very safe, wewe wasiwasi wa nini?.

Hebu subiria kufikia Mwezi Juni, utashuhudia kinachoendelea pale ufukwe wa Mikindani!.

Ni kweli na inawezekana ni vibaka walioiba na sijui kama wamesha pata soko au wamepima kama chuma chakavu!
 
pasco umenipatia.! Lakini mkuu mi mwenyewe kamanda kama wewe. Yaan ilifaa siku za usoni unipe kura yako ni rais wa tanganyika,..ninahakika naweza kunyoosha mambo. Au vipi!
 
nakwambieni iko siku utasikia saver ya jf imeibiwa. We unafikiri wanaipenda jf? Subirini siku si nyingi.

wakiigusa tu saver ya jf basi, licha ya kuwa matambiko tunayapuuza, binafsi nitakwenda kukesha huko milimani, mpaka tumpate aliye iba.
 
I was about to say the same thing, data kama hizi lazima uwe mfanyakazi wa humo ndani.
Kama taarifa yoyote haijatolewa na offisi maana yake umevujisha siri za offisi na umekosa uadilifu wa kazi. Huwezi jua, inawezekana swala limeamua kufuatiliwa kimya kimya ili kumkamata mtuhumiwa kirahisi, kwa mtindo huu wa kupublicize without office concern huoni kuwa unamjengea mazingira mwizi kujihami zaidi kama sio kupotea jumla. Waweza kuwa una lengo zuri ila pitia tena code of conduct za TPDF. Kama ni taarifa ambazo wameshatangaaza kwenye vyombo vya habari then nisamehe bure.

Kwa Upande mwingine Muhusika lazima awajibishwe ipasavyo.
ZIMEIBIWA BILLIONS ZA EPA BENKI KUU SEMBUSE COMPUTER TPDC? WATU WASHAZOEA KUIBIWA!

On a more serious note, hizi habari umezipataje? Wewe ni mfanyakazi umeamua kuvujisha siri ya ofc au ulienda kama mgeni ukaiba habari? Tutasubiri vyombo vya usalama vithibitishe hilo. Taarifa za kiintelligensia hazitachelewa!
 
@Speed, huna tofauti na mkwere baba yako kikwete anayeleta sera za wezi wa epa warudishe pesa na msamaha.. I tel u, hata waliovumbua uovu wa kagoda,epa,deep green,,etc ungewaambia hivyohivyo, si waadilifu!. Huu ni upuuzi..hebu tafakari ulichokiaandika then utajua nakwambia nn..huwezi kuweka uzembe kwenye serious n delicate data then utegemee maneno matamu..anyway,ndo watz mlivyo..pia afterall niwe/nisiwe afisa wa tpdc,utumbo kama huu naanika hadharani.. Period!
 
ukwelikitugani... please tumegee basi ni info gani sensitive ambayo wamei hujumu humo TPDC ... kwani umetueleza tu kwamba computer yenye mambo muhimu imepotea..... hatujui hayo mambo yenye maslahi ya nchi ni yapi....weka hadharani mkuu....au computer ilikua na accounting software yenye kuonyesha misuse of funds.... or ... tupo dull...tupe mwanga
 
Ndugu wana JF, Salaam. Leo mchana nikiwa pale Benjamin Mkapa tower,(mafuta house) zilipo ofc za TPDC zilifika taarifa kuwa kuna computer iliyokuwa ikitumia kama data base yenye info zote za machimbo/visima vya mafuta ,gas, imeibiwa katika ofc za zaman za shirika hilo Upanga. Hii ni hatari kwa nchi hasa ukizingatia kuwa watu/mafisadi wasioitakia mema nchi yetu wataanzia hapo kuendeleza hujuma. Pia ieleweke kuwa kuna taarifa za ndani ya shiriki za kiutafiti kuwa imegundulika hifadhi kubwa mno ya gas somewhere mwambao wa bahari. Pia ni hivi majuzi inasemekana kuna mzungu mmoja aliaibika baada ya MD kumwambia ile electronic pen aloiweka mezani kwake aiondoe.hii ilitokea ofcn kwa MD wa TPDC, alipotembelewa na huyu bwana. Hizi ni taarifa za uhakika za ndani. Nawasilisha

Kwani hawafanyi "data backup". Je kama jengo lingeteketea kwa moto tungesemaje?
 
Mkwere Jiuzulu!!! Hivi mnajua huyu bwana nji hii imemshinda? Kila kona yaani matatizo tu, hivi tutatoka kweli?
 
Nakubaliana na Pasco 100%. Kama data ni ya gesi sehemu fulani, itakuwa imegunduliwa na kampuni nyingine. Kwa mfano tuseme kampuni iwe Ophir na BG wamegundua gesi hivi karibuni, hiyo data wanawasogezea TPDC kama shareholder. Kama TPDC wanapoteza hiyo data siyo ishu, ni secondary data kama Pasco alivyosema. TPDC wanakuwa hawajaweka hata senti katika uchunguzi hadi ugunduzi wa hiyo gesi. Ishu itakuja tu ni pale kwa mfano BG/Ophir wanatafuta pesa kutoka wawekezaji/mabenki ili waendeleze field...ni kwamba huwezi ukasema nina gesi kiasi cha 1TC wakati data zinaonyesha una 0.5TC (unaweza poteza wawekezaji kama wana inside info). Au mfano, mafuta yaliyogunduliwa Uganda, kampuni inasema kuna potentially kama 2 billion barrels, wakati wanasema wanaweza kuchimba 300 million barrels tu....hapo kama mwekezaji, ni rahisi niwekeze kwenye 2 billion barrels kuliko 300 million barrels based on economic returns.
- Kama kweli wamepoteza hizo data, wakukasirika ni kampuni lililogundua hayo mafuta/gesi.
- Mafisadi wakitaka kujua inside info sio lazima waibe hizo data

Makampuni makubwa hayahangaiki kuchimba Tanzania, mafuta/gesi yakipatikana kwa wingi utaona joint venture au take over ya vikampuni vidogo. Tullow wamepata mafuta Uganda, hawana pesa ya kuendeleza, imebidi waingie joint venture na Total nadhani na wachina pia. So kama kuna gesi kibao, somehow ni marketing kwa Tanzania ili makampuni yaje zaidi. Kama ni haba, itabackfire kwao!

So all in all, it is not as bad as you make it sound, unless you know something else!
 
Kuhusu suala la pango nadhani hiyo sio ishu kwani inaeleweka wazi kuwa tpdc jengo hilo lilishawashinda kwa muda mrefu na hii ni kutokana na ufisadi uliofanywa na mabosi wa tpdc wakishirikiana na vingunge wa serikali, hii ni pamoja na tpdc kunyang'anywa rungu la kuagiza mafuta ghafi ambayo yalikuwa yanasafishiwa hapahapa nchini hivyo kuongeza thamani yake. Kiufisadi, kazi hiyo wameachiwa waarabu.

So baada ya tpdc kushindwa kuliendeleza jengo hilo ndipo walipokuja nssf na ppf ndio waliolimalizia kwa hiyo kuna makubaliano ya mgawanyo wa rasilimali hiyo kutegemea nani kachangia nini. Nijuavyo mimi jengo lina wing 3, tpdc wamepewa ghorofa kama 8 hivi za wing ya nyuma ambapo basement itatumika kama databank yao.

Kuhusu kuibiwa kompyuta yenye nyaraka inawezekana kweli kwa sababu niliwahi kusikia wakati fulani kutoka kwenye chanzo cha uhakika kuwa databank ya tpdc ipo nje (somewhere uingereza kama sijakosea). Na aliyeniambia alidai kuwa walifanya hivyo kwa ajili ya security (suppose mtu akachoma moto ofisi waliyokuwa wanatumia pale upanga ambayo haikuwa na security yoyote). Mazagazaga mengine yalikuwa yanahifadhiwa kienyeji tu. So post hii tusiidharau bali tufanye uchunguzi kubaini ukweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom