Na atajuta still more to come this is just the beginning.JK nafikiria amejuta sana....kwa nn aligombea second term!!!!
haha, kwa hiyo katoa zawadi ya kibatari kwa kuwa tanesco wametangulia kutoa zawadi ya mgao wa umeme pamoja na kupandisha bei kwa 18%. haha very fun
Alishindwa vipi kuwatumia manaibu wake akiwemo Pinda. Udini tuuJk mwenyewe yupo New York anakula bata tuu.