ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,785
Wapiga kura huu ndio ujumbe wenu kutoka Kwa Rais kipenzi chenu ambae anawajali
==
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kupima viongozi kwa vitendo na sio kwa zawadi ndogo ndogo ambazo wamekuwa wakiwapelekea kipindi cha kampeni za uchaguzi.
==
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi kupima viongozi kwa vitendo na sio kwa zawadi ndogo ndogo ambazo wamekuwa wakiwapelekea kipindi cha kampeni za uchaguzi.