Nani kamtuma Shigongo atoe siri kwamba Hazina imekauka?

Kwani kudaiwa ndio inamzuia mtu kutoa maoni yake??

Kama anadaiwa atalipa, au amekuambia halipi?
Anapokuwa anatoa Maoni Kuwataja Watu wawe Wazalendo kulipa Kodi Basi na Yeye awe Wa Kwanza Kulipa Kodi Pia. Kampuni Yake ya Mafuta Mpaka Sasa haijalipa Regulatory Levy more than a year.
 
Kwani kudaiwa ndio inamzuia mtu kutoa maoni yake??

Kama anadaiwa atalipa, au amekuambia halipi?
Acha naye huyo!!!

Hajielewi halafu hii tabia ya kuleta tuhuma za mtu baada ya yeye kukosoa serikali ni mambo ya kitoto sana na ndio yanafanya watu wawe wanafiki bongo.
 
Shigongo amewaomba wananchi kuwa wavumilivu na kulipa tozo ya miamala ya simu tuweze kuinua uchumi ambao umeporomoka, amewataka wananchi kuvumilia machungu kwa miezi kuanzia kumi na nane au zaidi.

Kauli hii inakuja wakati ambao ripoti ya timu ya wataalam iliyoundwa kuchunguza fedha zilizotumika kutoka hazina kwa miezi mitatu ikidai kwamba hakuna fedha zilizokwapuliwa.

Itakumbukwa siku chache kabla kifo Cha JPM tuliaminishwa uchumi wetu upo 6.8 lakini baada tu yakufariki tukaambiwa uchumi upo 4.8.

Wakati huo huo Waziri wa fedha ameahidi kuwa wataachia trilioni tano kuingia kwenye mzunguko bila kueleza zinatoka wapi na kwa kazi gani.

Mazingira haya yanatoa fumbo kubwa kwamba nchi yetu inaendesha kisiasa zaidi na kwa uongo kitu ambacho ni kinyume kabisa na ndimu za viongozi kwa wanannchi.

Upo uwezekano kabisa hazina pamekauka na wabunge wa CCM wanalijua na ndio sababu yakushindwa kusimama na wananchi wakati wa bajeti na kupelekea serikali kupitisha tozo zinazowaumiza wananchi na kuua uchumi kwa jumla badala ya kuukuza
Sasa mbona kichwa na content vinatofautiana
 
Very many comments but virtually all the comments either pro or against are childish.

The government had money to run its activities, when you cannot manages well funds, people must speak, this is whether it is from Shigongo or any other because it is a living fact.

How politics is introduced here ?, it is either Treasury is bankrupt or otherwise. We must be in an orthodox mind when discussing our daily lives. Samia or Shigongo are not on our plates to be dinned, only money will make food on our table.
 
Swala kwamba hazina imekauka ni uzushi tu,

Mishahara ilikua inalipwa kwa wakati.

Wakandarasi walilipwa,

Hakuna project kubwa iliyosimama kwa kukosekana kwa fedha.

Akiba ya fedha za kigeni ipo ya kutosha.

Hivyo hizo ni propaganda tu kujustify tozo.
 
Back
Top Bottom