Anapokuwa anatoa Maoni Kuwataja Watu wawe Wazalendo kulipa Kodi Basi na Yeye awe Wa Kwanza Kulipa Kodi Pia. Kampuni Yake ya Mafuta Mpaka Sasa haijalipa Regulatory Levy more than a year.Kwani kudaiwa ndio inamzuia mtu kutoa maoni yake??
Kama anadaiwa atalipa, au amekuambia halipi?
Acha naye huyo!!!Kwani kudaiwa ndio inamzuia mtu kutoa maoni yake??
Kama anadaiwa atalipa, au amekuambia halipi?
Amechangia kuifilisi hazina.Kwani kudaiwa ndio inamzuia mtu kutoa maoni yake??
Kama anadaiwa atalipa, au amekuambia halipi?
Daah mbona hela ndogo mkuu.Ndio na Ni Mwaka Sasa, Recommendation ya Ku-reoveke Leseni yake inakuja.
Sasa mbona kichwa na content vinatofautianaShigongo amewaomba wananchi kuwa wavumilivu na kulipa tozo ya miamala ya simu tuweze kuinua uchumi ambao umeporomoka, amewataka wananchi kuvumilia machungu kwa miezi kuanzia kumi na nane au zaidi.
Kauli hii inakuja wakati ambao ripoti ya timu ya wataalam iliyoundwa kuchunguza fedha zilizotumika kutoka hazina kwa miezi mitatu ikidai kwamba hakuna fedha zilizokwapuliwa.
Itakumbukwa siku chache kabla kifo Cha JPM tuliaminishwa uchumi wetu upo 6.8 lakini baada tu yakufariki tukaambiwa uchumi upo 4.8.
Wakati huo huo Waziri wa fedha ameahidi kuwa wataachia trilioni tano kuingia kwenye mzunguko bila kueleza zinatoka wapi na kwa kazi gani.
Mazingira haya yanatoa fumbo kubwa kwamba nchi yetu inaendesha kisiasa zaidi na kwa uongo kitu ambacho ni kinyume kabisa na ndimu za viongozi kwa wanannchi.
Upo uwezekano kabisa hazina pamekauka na wabunge wa CCM wanalijua na ndio sababu yakushindwa kusimama na wananchi wakati wa bajeti na kupelekea serikali kupitisha tozo zinazowaumiza wananchi na kuua uchumi kwa jumla badala ya kuukuza
Only in Africa6.8 lakini baada tu yakufariki tukaambiwa uchumi upo 4.8.