Huyu mtangazaji wa RFA,sidhani kama kuna Redio DJ anayemfikia kwa sasa unapozumgumzia miziki ya bolingo,
Yeye hupiga zile nyimbo kali ambazo wapenzi wa muziki huu,hatujasikia muda mrefu au ataweka nyimbo mpya kabisa na unaweza usizisikie kabisa kwa watangazaji wenzake wa RFA,na hata redio nyingine.Namfananisha na marehemu Rankim Ramadhani ambaye alikuwa anakuwa wa kwanza kugundua nyimbo kali. Kwa uliye shabiki wa bolingo msikilize Zuberi jumanne saa nne usiku,RFA au jumamosi kuanzia saa 8 mchana kwenye Redio yao nyingine Kiss FM akisaidiana na DJ Maliz.Zuberi msabaha upo juu.
Yeye hupiga zile nyimbo kali ambazo wapenzi wa muziki huu,hatujasikia muda mrefu au ataweka nyimbo mpya kabisa na unaweza usizisikie kabisa kwa watangazaji wenzake wa RFA,na hata redio nyingine.Namfananisha na marehemu Rankim Ramadhani ambaye alikuwa anakuwa wa kwanza kugundua nyimbo kali. Kwa uliye shabiki wa bolingo msikilize Zuberi jumanne saa nne usiku,RFA au jumamosi kuanzia saa 8 mchana kwenye Redio yao nyingine Kiss FM akisaidiana na DJ Maliz.Zuberi msabaha upo juu.