Amalinze
JF-Expert Member
- May 6, 2012
- 6,784
- 5,284
Aliyekuwa mtangazaji wa Radio free afrika kipindi cha bolingo time, Mtangazaji Zuberi Msabaha afariki dunia.
Maziko yanatarajiwa kufanyika leo huko Mabatini, Mwanza. Mungu amuweke anapostaili mtaalamu huyo aliyekuwa na mvuto wake na uhodari wa kuendesha kipindi kupitia redio free Afrika.
dafity said;
Mtangazaji mahiri wa Sahara Media (RFA, KISS FM na STARTV) mtajwa hapo juu amefariki usiku wa kuamkia leo Jumatano January 10, 2018. Msiba upo Mabatini Mwanza.
Marehemu alikua mahiri katika kuzichambua nyimbo za Kilingala, KiCongo na Kikasai kutoka DRC na Congo-Brazaville.
Baadhi ya majina ya kazi aliyotumia ni 6000 volts na TonTon. Mazishi ni leo Jumatano saa 10 jioni hapa Mwanza