JOTO LA MOTO
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 766
- 562
- Thread starter
- #21
Sasa mbona unataka tena kuwaumiza.Km angekuwapo binadamu mwingine mwenye uwezo wa kubeba mimba bas tungemfananisha naye
Sas hapo utaona MAMA anashindanishwa na hewa[emoji23]
Sie tusherehekee nao tu siku yao hii, ndio maana ya kuwa wenza.