Nani "Kajamba" humu ndani?

Nani "Kajamba" humu ndani?

Sele Mkonje

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2011
Posts
643
Reaction score
846
Daah..! Amini usiamini hii imetokea jana katika kipindi cha XXL cloudz fm,watangazaji walikuwa wanaulizana "LIVE ON AIR" kwamba nani aliyejamba humo studio...kweli hii ni Redio ya kipekee
 
Ukiwasikiliza wehu nawe utaonekana mwehu.

Nakushauri kuanzia leo achana na hiyo redio.
 
Ukisikia wanayoongea utadhani huwa wanapata msuba kabla ya kuruka hewani.
 
Khe! Mkuu wa chuo kumbe kny thread yako ulikuwa humaanishi ee?nimegundua unapenda sana chitchat na MMU

Prishaz, huu uzi mara ya kwanza ulikukuwa kwenye habari na hoja mchanganyiko naona mod kauamishia chit-chat!
 
ushuzi upi sasa? Ni ule unaotoka taratibu na kusema Yusufffff au ule wa sauti kubwa Puuuuu? Nalog off
 
nimesikia waziri Dr. Shukuru Kawambwa akiisifia redio hii sana jana asubuhi kutoka Dodoma!!!!
 
Daah..! Amini usiamini hii imetokea jana katika kipindi cha XXL cloudz fm,watangazaji walikuwa wanaulizana "LIVE ON AIR" kwamba nani aliyejamba humo studio...kweli hii ni Redio ya kipekee

Redio ya wafuuu
 
Back
Top Bottom