Nani imewahi mkuta hivi?

Nani imewahi mkuta hivi?

Sijui niiteje hii hali.... four years ago niliachana na this guy!!!!
Damn I had to go through hell... niliumia mno I reached a point naongea mwenyewe ni kama nilikua half crazy au almost crazy.

Well with time nikaanza zoea na kupona, nkasahau yote. but sijui n woga sijui ni nin I can't move on si kwamba nampenda yule bwana hapana maana amewai jaribu ntafuta majibu niliompa atakua alienda jiangalia kwenye kioo kama kweli n mwanaume na yale maneno yote n yake.....

Sijui n ganzi ya moyo sielewi!!! sijui ni psychological problem sijui???!! leo nilikua nachat na jamaa ambae I can say somehow nilimuelewa, but within me kuna kitu hua kinakataa kabisa Inapokuja kuanza relationship mpya
Nimemjibu simple tu "achana na mim akili angu naijua mwenyewe nsije kupa kichaa bure"
But si kwamba nina relationship, si kwamba I don't miss good moments... I just don't... just don't... with no reason mwanaume anaechukua namba angu ataishia kuangalia meme coz I love posting memes ata 20 per day. but when it comes to love jamani mtu akiingiza Ayo Mambo najikuta nachukia adi nakosa pumzi.
But nikikaa tena najiuliza for how long ntaishi ivi??!!

Aroo acheni tu am going through hell in mind and body and I've zero idea when will this end??!!naumia nyie acheni tu.
Simple, ukitaka ufurahie maisha tafta mwanaume mwenye attitudes kama ww, aki hutoboweka
 
Sijui niiteje hii hali.... four years ago niliachana na this guy!!!!
Damn I had to go through hell... niliumia mno I reached a point naongea mwenyewe ni kama nilikua half crazy au almost crazy.

Well with time nikaanza zoea na kupona, nkasahau yote. but sijui n woga sijui ni nin I can't move on si kwamba nampenda yule bwana hapana maana amewai jaribu ntafuta majibu niliompa atakua alienda jiangalia kwenye kioo kama kweli n mwanaume na yale maneno yote n yake.....

Sijui n ganzi ya moyo sielewi!!! sijui ni psychological problem sijui???!! leo nilikua nachat na jamaa ambae I can say somehow nilimuelewa, but within me kuna kitu hua kinakataa kabisa Inapokuja kuanza relationship mpya
Nimemjibu simple tu "achana na mim akili angu naijua mwenyewe nsije kupa kichaa bure"
But si kwamba nina relationship, si kwamba I don't miss good moments... I just don't... just don't... with no reason mwanaume anaechukua namba angu ataishia kuangalia meme coz I love posting memes ata 20 per day. but when it comes to love jamani mtu akiingiza Ayo Mambo najikuta nachukia adi nakosa pumzi.
But nikikaa tena najiuliza for how long ntaishi ivi??!!

Aroo acheni tu am going through hell in mind and body and I've zero idea when will this end??!!naumia nyie acheni tu.
Pole msamehe na ujisamehe ili uanze upya maisha
 
1. Bado una chembe chembe za sumu kutoka kwenye toxic relationship; hiyo sumu inaweza kuondolewa ukikutana na mtu sahihi akikupenda kwa usahihi. Mapenzi/Upendo ni hitaji la muhimu halina mbadala. Usikimbie upendo.
2. Uko vipande vipande/umevunjika vunjika kutoka na broken relationship, Tafuta namna ya kukusanya vipande hivyo kuwa kitu kimoja;
3. Una "ego" inawezekana tangu mwanzoni au imesababishwa na hiyo ajali. Humble yourself.
4. Una energy nyingi involves yourself kwa exercise. Mazoezi ni miongozi mwa tools za reorganisation.
 
Poleeeh sana mpendwa, kuwa buzzy na mambo yako ya msingi.
Kuna maisha mengine nje ya mapenzi, relaaaaaax.
 
Ruhusu tu moyo wako kupenda hata usiuzuie kabsa,Safari ya kwenda kanani haijawahi kuwa rahisi hata siku moja lazima ukutane na vitoto vya farao kwanza vikuumize kichwa.Ded;Moyo by Vanessa Mdee
Hiyo Ded umepatia haswaah.
 
Sijui niiteje hii hali.... four years ago niliachana na this guy!!!!
Damn I had to go through hell... niliumia mno I reached a point naongea mwenyewe ni kama nilikua half crazy au almost crazy.

Well with time nikaanza zoea na kupona, nkasahau yote. but sijui n woga sijui ni nin I can't move on si kwamba nampenda yule bwana hapana maana amewai jaribu ntafuta majibu niliompa atakua alienda jiangalia kwenye kioo kama kweli n mwanaume na yale maneno yote n yake.....

Sijui n ganzi ya moyo sielewi!!! sijui ni psychological problem sijui???!! leo nilikua nachat na jamaa ambae I can say somehow nilimuelewa, but within me kuna kitu hua kinakataa kabisa Inapokuja kuanza relationship mpya
Nimemjibu simple tu "achana na mim akili angu naijua mwenyewe nsije kupa kichaa bure"
But si kwamba nina relationship, si kwamba I don't miss good moments... I just don't... just don't... with no reason mwanaume anaechukua namba angu ataishia kuangalia meme coz I love posting memes ata 20 per day. but when it comes to love jamani mtu akiingiza Ayo Mambo najikuta nachukia adi nakosa pumzi.
But nikikaa tena najiuliza for how long ntaishi ivi??!!

Aroo acheni tu am going through hell in mind and body and I've zero idea when will this end??!!naumia nyie acheni tu.
Sikia Binti, nyota ya mapenzi na mafanikio imesha vurugwa na wachawi tena mtu wa karibu yako anahusika! anaekuonea wewe wivu au anamuonea mama yako wivu!! binadamu wengi wako ivo!

hapo sasa wanaumia vitu vidogo vidogo tu kuwa mama yako atapata mkwe mwema, ukiunganisha nakipaji chako nk!! yaani jamaa wa ukoo wako aweza husika kushusha nyota yako!! au hata mtu aliye kupenda sana ukamzengua!!

Amini maneno yangu wewe ulikuwa ni mtu mwenye kujenga familia imala yenye mafanikio sana tena sana, si kitoto lkn walikuwahi wajanja kuchukua nyota yako ya mapenzi!!! siku ukipigana bila kuchoka either kwa maombi ikarudi!!! hee! utaona...

utatulia kwenye ndoa yako hkn mfano tena utafurahia mahusiano yako hkn mfano wake! wanao watafika mbali sana mpaka utajiuliza hiki nini??? tatizo je una akili ya kujua jinsi nyota yako ilipozimiwa??? au kuibiwa? je na nani huyo? na lini ? na jinsi ya kuirudisha???

Angalia Maliamu Magdalena alikuwa mzinzi tu CD hatari, lkn alikutana na Yesu akatolewa pepo la uzinzi alilotupiwa na watu wabaya tu sababu walijua hatima yake nzuri!! so kwa kukutana na Yesu akabadilika, na kweli ni kati ya wanafunzi waliopendwa na Yesu sana!

So! kuanzia hapo Maliamu Magdalena aka ambatana na Yesu akafanya mambo makubwa mengi, mojawapo ya jambo lake la kushangaza ni pale ilipo kuwa kwamba;

ndiye pekee mtu wa kwanza aliye muona Yesu akifufuka! akaenda kuwapasha watu habari njema mjini, kuhusu kufufuka kwa Yesu! sasa jiulize kwa nini yeye alidamkia makaburini kuliko wote? na kweli akashuhudia na akaongea na Yesu kwa mara ya kwanza?

Lkn ajabu kwa sababu ya historical back ground ya huyu mdada kuna baadhi ya wanafunzi wa Yesu walikuwa hawampendi huyu M.Magdalena kiviile, mfano wake ni Peter!!. ..

Hata huyu Magdalena alipokuwa ana wasimulia watu na hao wanafunzi habari za kufufuka kwa Yesu walichukulia kirahisi mno tu! Ni km walikuwa wanasema ''huyu...mmm! '' lkn ndo ilikuwa ukweli!! na habari zake magdalena hazikuandikwa saana kwa Biblia,

So my dear fellow JF member!! keep on prayin' and try hard as much as possible to secure your star!! en' think twice about what is going on behind scene, human being are unpredictable as your life goes on!!

But still I do b've you've de whole World under your feet, also undiscovered some kind of beautifulness of which you'r still unaware of!! fit to be get married by any who will be among de high prolific figures!!! are on your hands! tchao!!!

and on doing so have a better future family! ... am just tryin' to figure out! de inner core of your tangible tragedies!! so take action may dear! cause de world is not like the way you can imagine off!
 
Wewe ni KE, unaringa??,, wait a moment umri usogee utaelewa nini ulifanya huko nyuma, na nakwambia utawatafta wote waliokuwa wanakutafta😁, najua ulinikataa mm🤣
 
Back
Top Bottom