Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
OkOk, ila ni wazi haujanielewa!
OkOk, ila ni wazi haujanielewa!
Kuna tofauti kati ya Kariuki na Kairuki.Mmh hilo sir name lake kama la Nchi jirani kaskazini
Oh okKuna tofauti kati ya Kariuki na Kairuki.
Rejea comment yangu, sasa umeelewa!Oh ok
Ni Raia wa Tanzania mwenye Asili ya comoro nenda kamdai cheti cha kuzaliwa uone kama anachoIvi naomba kuuliza waziri wa ofisi ya rais menejiment na utawala bora angela kairuki alizaliwa mkoa gani na kwao kabx ni wap??
Asili yake ni comoroBaba Mpemba- mama mpare, mume mhaya = surname
Shinyanga....
....Ikungulyabashashi hatushikiki
Comoros na Ukristo wapi na wapi? Wako Moro naowafahamu ni Faudhiat Aboud wa iliyokuwa RTD na Zakhia Megji mzanzibar mkomoroNi Raia wa Tanzania mwenye Asili ya comoro nenda kamdai cheti cha kuzaliwa uone kama anacho
Ni warabu wa kayenze hao yy na meck said(aloshindwa kwenda na kasi ya Tinga Tinga)Comoros na Ukristo wapi na wapi? Wako Moro naowafahamu ni Faudhiat Aboud wa iliyokuwa RTD na Zakhia Megji mzanzibar mkomoro
Kairuki ni surname ya mme wake ambaye ndiye wa huko na yeye anaitumia ila yeye mwenyewe sio asili yake huko!Huyu kwao ndiyo kule Mkulu aliposema kila janga wao........
Matetemeko wao........
Gonjwa la ukimwi limeanzia kwao.......
Mto ngono uko kwao........
Katerero kwao.........
Nadhani hadi hapo utakuwa umenipata kujua huyo mdada kwao wapi.
Mwarabu gani havaagi kiarabu?Ni warabu wa kayenze hao yy na meck said(aloshindwa kwenda na kasi ya Tinga Tinga)
Kairuki ni mme wake!Bk.babake marehemu dr.Kairuki ana hospital pale dar na chuo pia
Ndo maana huyu mama ni kifaa cha maanaAsili yake ni comoro