The reverse is correct baba mpare! AssuredBaba Mpemba- mama mpare, mume mhaya = surname
The reverse is correct baba mpare! AssuredBaba Mpemba- mama mpare, mume mhaya = surname
Nchi jirani ni kariuki huyu ni kairukiMmh hilo sur name lake kama la Nchi jirani kaskazini
Dr. Kairuki ni Baba mkwe wake.Bk.babake marehemu dr.Kairuki ana hospital pale dar na chuo pia
Mbelwa na si Mbwela. Ni Balozi sasa hivi nadhani China.Mtoto wa Kipare huyo Jasmine kaolewabna Mbwela mtoto wa Hubert Kairuki akapewa jina la Angela
Ni mke wa mtu. Wataka kujua kwako kwa nini?Ivi naomba kuuliza Waziri wa Ofisi ya Rais Menejiment na Utawala Bora Angela Kairuki alizaliwa mkoa gani na kwao kabisa ni wapi?
Kuna tofauti kati ya Kariuki na Kairuki.
wewe ndiye unakaribia, kupatia, Kaolewa na Balozi Mbwelwa mwandishi wa hotuba za JK wa zamania ambaye kwa sasa ni balozi. sio mhaya wala mkomoroMtoto wa Kipare huyo Jasmine kaolewabna Mbwela mtoto wa Hubert Kairuki akapewa jina la Angela
You better go back to school man
Mkuu unatuonea.Mchepuko wangu kama yeye yani nikimla naona kama namla waziri
Anatokea nchi gani mkuuWaliingia zamani wakati serikali haina uddhibiti wa mipaka. Kwa sasa ni raia ila hajawahi kuomba uraia. Wana chama chao na wanajuwana wote wanaofanyakazi kila sehemu Tanzania. Kuna mwaka pale UD palitaka kuwaka moto baina yao maana walikuwa hawaaminiani. 1994.
NimekuelewaBaba Mpemba- mama mpare, mume mhaya = surname