David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 3,562
- 8,415
ulevi wa picha mkuuKuna ulevi wa aina nyingi. Ulevi wangu ni upi?
ulevi wa picha mkuuKuna ulevi wa aina nyingi. Ulevi wangu ni upi?
Hata!! Huu umepitiliza.Huyu atakuwa kutoka IringaMhhhhh, mchaga wa wapi huyu?
ulevi wa picha mkuu
Huyu atakuwa mwanaume wa Rombo.
Kama kweli ni Rombo basi ndio maama vidume vya Kenya vinavuka mpaka kuja huku!kwa hiyo migomba itakuwaa Rombo hapo
Kitochi hicho
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kitochi hicho
Ukimpa mswaki ataomba na rangi atafikilia unampa kazi ya kupaka rangiNimeiangalia hii picha,nikajikuta nawaza tu hivi mswaki wanaujua walevi wa hivi.
Wapo hapa...naona kuna migomba bila shaka ni penyewe.Huyu atakuwa mwanaume wa Rombo.