Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
Wauza unga wamejificha kwa hii approach ya kuropoka kwenye media.sina shida ya uteuzi ukweli lazima niuseme...
tatizo lenu haters mnataka kila mtu awe haters mwenzenu akiwa upande mwingine mnakasirika..
magufuli na makonda wanajitahid kunyoosha nchi...
nyinyi wenyewe zamani mlisema serikal inafuga wauza madawa na mafisadi leo inawakazia mnalalamika tena...
Hakuna anayepinga vita dhidi ya drugs, ila tunapinga method za kipumbavu mnazotumia.

