Si bure, PPR watakuwa wamepewa zabuni ya kazi fulani.Sii wengi wanaojua kuwa kumbe kuna watu walianzia mbali kuipigania nchi hii.
Paskali
Si bure, PPR watakuwa wamepewa zabuni ya kazi fulani.Sii wengi wanaojua kuwa kumbe kuna watu walianzia mbali kuipigania nchi hii.
Paskali
Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?
Maneno huumbaSii wengi wanaojua kuwa kumbe kuna watu walianzia mbali kuipigania nchi hii.
Paskali
Unaonaje ukaanzisha uzi kwa hili ?Mihadarati ya Ufipa vipi Mwenyekiti wa wauza Mihadarati ataripoti?
Anawahenyesha huyu jamaa mpaka ndimi zenu mmetoa nje! Fikiria hata kale kajarida kenu badala ya kuandika mambo ya nsingi kuhusu chama, sasa hivi kanamuandika Makonda tu!
Uandishi unakusaidia nini wewe mbwiga? Mbona kawazidi wote wanaojua kuandika?Jana tulijadili uandishi wake
Mkuu njoo na akaunt halali basiTayari baadhi ya WAPUUZI humu ndani mmeisha badili GIA TENA.....badala ya kujikita kwenye MAADA mnaaanza kuongea upuuzi wenu kwa hii MAADA ni kithibitisho TOSHA ya kuwa MAKONDA ana mapenzi ya dhati sana na NCHI HII sema tatzo kubwa la WATANZANIA NI WANAFKI MNO TENA MNO......DAAAH ata kama MALAIKA angaetawala NCHI HII.....still kuna wapuuzi humu wangekuja na yao
Kuna kuchafuliwa na kujichafua. Ukibebeshwa tuhuma za uongo, hata zingekuwa lundo kubwa kiasi gani, rahisi sana kuzipangua. Ngoma inakuwa nzito wewe mwenyewe unapokuwa so mnyoofu katika mwenendo wako.Bahati mbaya ni kuwa kila mwenye nia ya dhati ya kuisadia jamii ya kitanzania uwa anaishia kuchafuliwa kukatishwa tamaa kubebeshwa lundo la tuhuma nk ili mradi kuuwa nia na dhamira yake ya dhati katika kuikomboa nchi hii.
Ndio maana kwenye majibu ya hii mada nimesema kitakachoweza kutukomboa ni utaifa.Anawahenyesha huyu jamaa mpaka ndimi zenu mmetoa nje! Fikiria hata kale kajarida kenu badala ya kuandika mambo ya nsingi kuhusu chama, sasa hivi kanamuandika Makonda tu!
dogo acha kulialia.Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?
Huyu mtu ana bachelor?
Jibu swali vipi mihadarati hapo ufipa ataripoti kituoni?Unaonaje ukaanzisha uzi kwa hili ?
Halafu Verified Id yake iko inactive kwa muda mrefu sana
Au ndio unakuja na ID feki Mkuu
Kwa kifupi watanzania ni wasaliti sana na wanafiki watu wakujipendekeza
unataka atokee mesia kama Jesus? hakuna siku hizi chakufanya fight kivyako for your family maisha ni magumu sana kufikilia Macro ila tunaweza komaa in Micro level,usiwaze kuchange life ya wengine kabla hujachange life yakoUkweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?