cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,769
- 73,477
Hapa kazi tu.
hata mimi naonaHapa kazi tu.
Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?
Mkuu wa nchi anapendwa sana wewe unamwaribia kiaina mkuu. I’m just saying! Wewe ulisema eti “Mengi ndo mchagga bora”, siyo ubaguzi huo? Unafanya wenye kusema rais ni mbaguzi wapate point!Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?