cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,896
- 78,940
Hapa kazi tu.
hata mimi naonaHapa kazi tu.
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?
Mkuu wa nchi anapendwa sana wewe unamwaribia kiaina mkuu. I’m just saying! Wewe ulisema eti “Mengi ndo mchagga bora”, siyo ubaguzi huo? Unafanya wenye kusema rais ni mbaguzi wapate point!Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?
Swali kama hili, liliulizwa mahaliUkweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?
Ongezea WANAFKIAdui Mkubwa wa watanzania ni watanganyika wenyewe.
1.Watanganyika ni wasaliti.
2. Wauaji.
3. Watekaji.
4.Wezi.
5. Mafisadi.
6. Wahujumu Uchumi.
7. Waongo.
8. Michawa.
9. Zwazwa.
10. Umasikini, ujinga, Maradhi.
Swali kama hili, liliulizwa mahali
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
Mungu akauliza, Nimtume nani aende kuuokoa ulimwengu?. Neno akajibu unitume mimi.
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
Hii ni reference ya Mungu na ulimwengu,
kwa upande wa Tanzania mimi niliwahi kuandika humu haya haya yafuatayo
Kwanza nilimtabiria mtu, Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Kisha nikaja kuandika Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Nikashauri Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Nikauliza Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?
Nikasema Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli
Hivyo nilipomsikia hapa kuwa 2030 atakuwepo... Makonda, Kumbe kuna Watu wanapanga Njama za Kuharibu na Kudhoofisha jitihada za Rais Samia katika uongozi wake kwa Ndoto za 2030? Ni kina nani hao?
View: https://youtu.be/y2MrWtuQOCs?si=vkHEk8TnMakhNbSw
Hivyo 2030 Kazi ipo!.
P
Hunijui so usinijumuishe Muuaji ni wewe na kizazi chakoo kwani nyie nini aliyeuwa 29th of october si ndugu yako kakojoe akili ipandeeAdui Mkubwa wa watanzania ni watanganyika wenyewe.
1.Watanganyika ni wasaliti.
2. Wauaji.
3. Watekaji.
4.Wezi.
5. Mafisadi.
6. Wahujumu Uchumi.
7. Waongo.
8. Michawa.
9. Zwazwa.
10. Umasikini, ujinga, Maradhi.
Swali kama hili, liliulizwa mahali
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
Mungu akauliza, Nimtume nani aende kuuokoa ulimwengu?. Neno akajibu unitume mimi.
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakumtuma Mwana ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
Hii ni reference ya Mungu na ulimwengu,
kwa upande wa Tanzania mimi niliwahi kuandika humu haya haya yafuatayo
Kwanza nilimtabiria mtu, Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Kisha nikaja kuandika Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Nikashauri Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Nikauliza Bado kuna ubishi kuwa hiki ni chuma? Je, chuma hiki ni chuma kingine ila ni kama kile au chuma hiki ni kile kile kimerejea kivingine?
Nikasema Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli
Hivyo nilipomsikia hapa kuwa 2030 atakuwepo... Makonda, Kumbe kuna Watu wanapanga Njama za Kuharibu na Kudhoofisha jitihada za Rais Samia katika uongozi wake kwa Ndoto za 2030? Ni kina nani hao?
View: https://youtu.be/y2MrWtuQOCs?si=vkHEk8TnMakhNbSw
Hivyo 2030 Kazi ipo!.
P
Hunijui so usinijumuishe Muuaji ni wewe na kizazi chakoo kwani nyie nini aliyeuwa 29th of october si ndugu yako kakojoe akili ipandee
Anayeamua nani awe rais wetu 2030, sio mimi, sio wewe, sio yeye wala sio wao, ni YEYE!, kama ni yeye aliyeandikiwa na YEYE, then ni yeye!.Kwamba nyama choma aka matako baar awe RAIS LABUDA Raisi wa chole punguzeni mizaha jamani
2010 CCM walimpola Dr silla 2015 CCM wakapola pia kwa Lowassa 2020 magufuli akaamua qicheze mechi pekeyake 2025maiwaji ya halaiki Kama ndio hivi Basi makonda kweli ayakua raisiAnayeamua nani awe rais wetu 2030, sio mimi, sio wewe, sio yeye wala sio wao, ni YEYE!, kama ni yeye aliyeandikiwa na YEYE, then ni yeye!.
P
YEYE hawezi ruhusu wahuni ambao katika ubinadamu tu wanakataliwa. Labda watubu na kuanza kutenda mema kuwa upande wa hakiAnayeamua nani awe rais wetu 2030, sio mimi, sio wewe, sio yeye wala sio wao, ni YEYE!, kama ni yeye aliyeandikiwa na YEYE, then ni yeye!.
P
Ni YEYE Pekee, ndie huweka serikali za mataifa, hata serikali za kishetani zinazoua raia wake, zimewekwa na YEYE!. Je, wajua japo Mungu huweka Serikali za Mataifa kuna Serikali/Viongozi wa Mungu na Shetani? Tusiruhusu Ushetani kwa kuchagua mashetaniYEYE hawezi ruhusu wahuni ambao katika ubinadamu tu wanakataliwa. Labda watubu na kuanza kutenda mema kuwa upande wa haki
Ikifika Mtaua tena 518 ×2 au ×3 yake?Anayeamua nani awe rais wetu 2030, sio mimi, sio wewe, sio yeye wala sio wao, ni YEYE!, kama ni yeye aliyeandikiwa na YEYE, then ni yeye!.
P
Be positive and optimistic, dont be negative and pessimistIkifika Mtaua tena 518 ×2 au ×3 yake?
Nimeuliza tu wakigoma tena na kuingia road kufunga barabara na magogo vipi mtawaua tena au mtawafanyaje? Sio mnajipangia tu 2030 atachukua fulani mmesikia ndio anaetakiwa na wananchi au ndio mnaandaa mabeseni na mapipa ya damu mapema?Be positive and optimistic, dont be negative and pessimist
P
Kama nilivyosema anayepanga ni nani awe rais wetu 2030 ni YEYE pekee, ila kwa bahati mzuri, mimi Mzee wa Masauti, rais wa 2030 namjua, Trends Reading: Japo Rais wa 2030 Namjua, Simtaji ili Kumlinda!. Be The First to Know Good News Kawe-2030, MB.ni Mwanamke!, Kawe Itapaa kwa Maendeleo!Nimeuliza tu wakigoma tena na kuingia road kufunga barabara na magogo vipi mtawaua tena au mtawafanyaje? Sio mnajipangia tu 2030 atachukua fulani mmesikia ndio anaetakiwa na wananchi au ndio mnaandaa mabeseni na mapipa ya damu mapema?