Nani awaokowe Watanzania

Tukiwa serious tutapata mtu, na mtu atakigopa kiti hivyo atakuwa makini
Angalia Rwanda wapo wapi sasa
hapa uswahiba, undugu, ukabila na ugirlfriend ndio kipaumbele
 
Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?

Akitoa Maisha yake ndo Kelele zitaisha?Au kwa kuwa atakuwa marehemu ndo hato sikia makelele!
 
Hakuna marefu yasiyo na ncha. Hatuwezi kuendelea na pumba pumba hizi za magamba milele na milele. Jua wazi siku yao ipo na inakuja.
 
Hakuna marefu yasiyo na ncha. Hatuwezi kuendelea na pumba pumba hizi za magamba milele na milele. Jua wazi siku yao ipo na inakuja.

Wishful thinking. Jamaa wanajua kuwa watanzania wamelala, wangekuwa wameamka kama ilivyo Misri leo ujinga ungekoma. Mkombozi wa mtanzania anatakiwa kuwa mtanzania mwenyewe, aamke toka usingizini wanasiasa wataacha kutufanya wajinga.
 
Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?

Watanzania wote tuko tayari kutoa maisha yetu kwa ajili ya taifa na wala sio katika kutafuta vyeo. Tumefanya hivi, tunafanya na tutaendelea kufanya kwani ni jukumu letu. Kelele unazozisikia sio za kuzuia kupambana na biashara ya unga bali ni njia uliyotumia. Halafu nikushauri ndugu yangu, sasa hivi vita inayoendelea sio ya unga tena bali ni ya bangi, kwangu mm kupambana na bangi ni kuwaonea wavutaji wakati wavuta sigara wako mitaani wanavuta. Ukiniambia unapambana na unga nitakuelewa maana unga una madhara ya dhahiri na sio bangi.
 
Tayari baadhi ya WAPUUZI humu ndani mmeisha badili GIA TENA.....badala ya kujikita kwenye MAADA mnaaanza kuongea upuuzi wenu kwa hii MAADA ni kithibitisho TOSHA ya kuwa MAKONDA ana mapenzi ya dhati sana na NCHI HII sema tatzo kubwa la WATANZANIA NI WANAFKI MNO TENA MNO......DAAAH ata kama MALAIKA angaetawala NCHI HII.....still kuna wapuuzi humu wangekuja na yao
 
Bahati mbaya ni kuwa kila mwenye nia ya dhati ya kuisadia jamii ya kitanzania uwa anaishia kuchafuliwa kukatishwa tamaa kubebeshwa lundo la tuhuma nk ili mradi kuuwa nia na dhamira yake ya dhati katika kuikomboa nchi hii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom