Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
daudiUkweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?
daudiUkweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?
Umesahau kuandika namba yako ya simu Kwa ajili ya uteuzi.
Hili ni jukwaa,watu wanatoa maoni yao, usishangae hata ulichokiandika wewe wengine wakaona UPUUZI, ni vizuri kuwa na staha na uvumilivu.Tayari baadhi ya WAPUUZI humu ndani mmeisha badili GIA TENA.....badala ya kujikita kwenye MAADA mnaaanza kuongea upuuzi wenu kwa hii MAADA ni kithibitisho TOSHA ya kuwa MAKONDA ana mapenzi ya dhati sana na NCHI HII sema tatzo kubwa la WATANZANIA NI WANAFKI MNO TENA MNO......DAAAH ata kama MALAIKA angaetawala NCHI HII.....still kuna wapuuzi humu wangekuja na yao
As long as kilichoandikwa kinaeleweka sio lazma kuandika spelling sawasawa make huu sio mtihani kwamba kuna kuna mwalimu anasahihisha spelling.
BAVICHA wakiongozwa na mwenyekiti wao Kasheku Musukuma......Paul Makonda kaka nakukubali sana
wewe ni jembe... achana na bavicha ambao hawajui wanachokipigania...
tukipata viongozi wenye uthubutu kama wewe na magufuli wengi.... kama 5000 hivi hii nchi ingeendelea haraka sana
Magufuli na Makonda wako tayari kufa kwa ajili yetu.
hivii huyu ndio yulee MTANGAZAJI WA RADIO TABORA? au ni yuleee aliyetumia jina la mtangazaji huyu?
nianzie hapa kwanza?
cc: tetty
nani aliyelipwa??/ huyu aliyetumiaa jina.. au mwenye jina ndo kalipwa?Ndiye yeye aliyetumia jina la Mtangazaji.Nasikia ati ameshalipwa na GSM
Vipi mbona huonekani jukwaani?Ukweli nasikia sauti ya kilio ktk kila kona ya Nchi. Swali langu ninani yuko tayari kuyatowa maisha yake kwaajili ya taifa?
nani aliyelipwa??/ huyu aliyetumiaa jina.. au mwenye jina ndo kalipwa?
Vipi mbona huonekani jukwaani?
ngoja nimuulize KIMAMBE ?Mwenye JINA
Natangaza rasmi kuwaunga Mkono CHADEMA na UKAWAYuko busy na wapinzani
ngoja nimuulize KIMBAMBE ?
Kamati ya Uchaguzi TLS imfute Tundu Lissu na Masha kwa kampeni zenye mrengo wa kisiasaHahahhahaha naona kesha weka maotkeo yako kule ati ni FAILED
cc: tettyVipi mbona huonekani jukwaani?