Nani atakae niridhisha?

Think

Member
Jul 27, 2012
71
1
ktk mapenzi kitu kizuri ni kuridhishwa sex na umpendae ktk kila steji unayopitia na ukaenjoy. lkn siku hizi mambo ni tofauti sana unaweza kudhani watu wanafanya mazoezi kwa wenzao.

nani atakae niridhisha ili nizidi kumpenda pale napomwona ktk sura yangu? ndo swali wengi wamekuwa wakijiuliza...

tatizo nini siku hizi ktk mapenzi mbona weng hawaenjoy na mahusiano yanavunjika kila kukicha?
 
ktk mapenzi kitu kizuri ni kuridhishwa sex na umpendae ktk kila steji unayopitia na ukaenjoy. lkn siku hizi mambo ni tofauti sana unaweza kudhani watu wanafanya mazoezi kwa wenzao.

nani atakae niridhisha ili nizidi kumpenda pale napomwona ktk sura yangu? ndo swali wengi wamekuwa wakijiuliza...

tatizo nini siku hizi ktk mapenzi mbona weng hawaenjoy na mahusiano yanavunjika kila kukicha?

tumia vibration machine ni kiboko na mwisho wa matatizo nyege zote zitakwisha.
 
ktk mapenzi kitu kizuri ni kuridhishwa sex na umpendae ktk kila steji unayopitia na ukaenjoy. lkn siku hizi mambo ni tofauti sana unaweza kudhani watu wanafanya mazoezi kwa wenzao.

nani atakae niridhisha ili nizidi kumpenda pale napomwona ktk sura yangu? ndo swali wengi wamekuwa wakijiuliza...

tatizo nini siku hizi ktk mapenzi mbona weng hawaenjoy na mahusiano yanavunjika kila kukicha?


,,,vp ww mwanamke ama mwanaume?Hi hutokea hasa kwa wanawake nafikiri,,
 
ukitaka kuridhishwa, utaridhika tu...! ni kujiendekeza!
 
Sorry, mtoa mada wewe ni jinsia gani?
Siku hizi hakuna kufundwa/kufundika na vijana ni wavivu saana hawajitumi. Labda kama utahitaji msaaa kwenye tuta (ili uridhike) tunaomba anuani yako ..

ktk mapenzi kitu kizuri ni kuridhishwa sex na umpendae ktk kila steji unayopitia na ukaenjoy. lkn siku hizi mambo ni tofauti sana unaweza kudhani watu wanafanya mazoezi kwa wenzao.

nani atakae niridhisha ili nizidi kumpenda pale napomwona ktk sura yangu? ndo swali wengi wamekuwa wakijiuliza...

tatizo nini siku hizi ktk mapenzi mbona weng hawaenjoy na mahusiano yanavunjika kila kukicha?
 
tumia vibration machine ni kiboko na mwisho wa matatizo nyege zote zitakwisha.

Hivi na utu uzima wako unamshauri binadamu atumie chombo cha umeme kwenye uke? je hilo ndilo suluhisho la kudumu? je unategemea akishaanza kujiridhisha kwa umeme, je kuna uboo wowote utakaomridhisha duniani? Kabla ya kumshauri mwenzio njia ya kumpoteza na kumuharibia mahusiano yake moja kwa moja na aidha mme au boyfriend wake ni bora ufikirie madhara ya muda mfupi na muda mrefu kwa hicho unachoshauri. Na kama hauwezi kuona hayo madhara, ni busara kutochangia kuliko kuzidi kumuharibu mwenzio. Wakati mwingine kukaa kimya ni busara kuliko kusema jambo ambalo badala ya kujenga linabomoa, tena moja kwa moja.

Badala ya kumshauri mtu akaonane na wanasaikolojia pamoja na namna gani wanaweza kufanya na partner wake, wewe unamwelekeza akafanya mapenzi na vyombo vinavyotumia umeme kwenye kiungo kilichoumbwa kwa ajili ya kiungo kingine kinachotumia damu na si umeme au betri. Muogope Mungu wako kama unaamini kwamba kuna Mungu.
 
Kama mtu hatosheki unafiki nini kifanyike? unataka akajiuze? si bora kutumia machine kuliko hayo mengine.

ujue hiyo roho ya mpinga kristo imekuingia vizuri mpaka huamini in nature, Mungu vyote hivyo alivicntrol mkuu!
 
Hakuna aliyezaliwa akiwa anajua, kama hakuridhishi ni vyema ukamfundisha ukisema umwache kisa hakuridhishi utaacha wangapi?
 
Asante mchungaji!
Hivi na utu uzima wako unamshauri binadamu atumie chombo cha umeme kwenye uke? je hilo ndilo suluhisho la kudumu? je unategemea akishaanza kujiridhisha kwa umeme, je kuna uboo wowote utakaomridhisha duniani? Kabla ya kumshauri mwenzio njia ya kumpoteza na kumuharibia mahusiano yake moja kwa moja na aidha mme au boyfriend wake ni bora ufikirie madhara ya muda mfupi na muda mrefu kwa hicho unachoshauri. Na kama hauwezi kuona hayo madhara, ni busara kutochangia kuliko kuzidi kumuharibu mwenzio. Wakati mwingine kukaa kimya ni busara kuliko kusema jambo ambalo badala ya kujenga linabomoa, tena moja kwa moja.

Badala ya kumshauri mtu akaonane na wanasaikolojia pamoja na namna gani wanaweza kufanya na partner wake, wewe unamwelekeza akafanya mapenzi na vyombo vinavyotumia umeme kwenye kiungo kilichoumbwa kwa ajili ya kiungo kingine kinachotumia damu na si umeme au betri. Muogope Mungu wako kama unaamini kwamba kuna Mungu.
 
Hivi na utu uzima wako unamshauri binadamu atumie chombo cha umeme kwenye uke? je hilo ndilo suluhisho la kudumu? je unategemea akishaanza kujiridhisha kwa umeme, je kuna uboo wowote utakaomridhisha duniani? Kabla ya kumshauri mwenzio njia ya kumpoteza na kumuharibia mahusiano yake moja kwa moja na aidha mme au boyfriend wake ni bora ufikirie madhara ya muda mfupi na muda mrefu kwa hicho unachoshauri. Na kama hauwezi kuona hayo madhara, ni busara kutochangia kuliko kuzidi kumuharibu mwenzio. Wakati mwingine kukaa kimya ni busara kuliko kusema jambo ambalo badala ya kujenga linabomoa, tena moja kwa moja.

Badala ya kumshauri mtu akaonane na wanasaikolojia pamoja na namna gani wanaweza kufanya na partner wake, wewe unamwelekeza akafanya mapenzi na vyombo vinavyotumia umeme kwenye kiungo kilichoumbwa kwa ajili ya kiungo kingine kinachotumia damu na si umeme au betri. Muogope Mungu wako kama unaamini kwamba kuna Mungu.

ushauri wako mzuri lakini bado kizazi hiki cha giza akisiki ushauri wa wanasychlologia.
 
Hivi na utu uzima wako unamshauri binadamu atumie chombo cha umeme kwenye uke? je hilo ndilo suluhisho la kudumu? je unategemea akishaanza kujiridhisha kwa umeme, je kuna uboo wowote utakaomridhisha duniani? Kabla ya kumshauri mwenzio njia ya kumpoteza na kumuharibia mahusiano yake moja kwa moja na aidha mme au boyfriend wake ni bora ufikirie madhara ya muda mfupi na muda mrefu kwa hicho unachoshauri. Na kama hauwezi kuona hayo madhara, ni busara kutochangia kuliko kuzidi kumuharibu mwenzio. Wakati mwingine kukaa kimya ni busara kuliko kusema jambo ambalo badala ya kujenga linabomoa, tena moja kwa moja.

Badala ya kumshauri mtu akaonane na wanasaikolojia pamoja na namna gani wanaweza kufanya na partner wake, wewe unamwelekeza akafanya mapenzi na vyombo vinavyotumia umeme kwenye kiungo kilichoumbwa kwa ajili ya kiungo kingine kinachotumia damu na si umeme au betri. Muogope Mungu wako kama unaamini kwamba kuna Mungu.

Kama ni muelewa atakuelewa kaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom