Think
Member
- Jul 27, 2012
- 71
- 1
ktk mapenzi kitu kizuri ni kuridhishwa sex na umpendae ktk kila steji unayopitia na ukaenjoy. lkn siku hizi mambo ni tofauti sana unaweza kudhani watu wanafanya mazoezi kwa wenzao.
nani atakae niridhisha ili nizidi kumpenda pale napomwona ktk sura yangu? ndo swali wengi wamekuwa wakijiuliza...
tatizo nini siku hizi ktk mapenzi mbona weng hawaenjoy na mahusiano yanavunjika kila kukicha?
nani atakae niridhisha ili nizidi kumpenda pale napomwona ktk sura yangu? ndo swali wengi wamekuwa wakijiuliza...
tatizo nini siku hizi ktk mapenzi mbona weng hawaenjoy na mahusiano yanavunjika kila kukicha?