Nani ataisaidia Tumaini Univasite?

Danniair

JF-Expert Member
Feb 18, 2011
360
66
Jamani jamani nani atasaidia wanafunzi ktk chuo kikuu cha Tumaini kampasi ya Kurasini? Tusikimbilie neno UDINI. Mazingira ya kusomea ni mabaya sana hasa jioni. Ni vurugu mechi, kuna kwaya ya kanisa vyombo juu, wanamaombi nao sauti juu. Lakini la ajabu ni kuwa wanafunzi wanalipa ada 2.5M/= kwa mwaka. Walipojaribu kujitetea kwa kuhainisha mazingira yao mabovu, haraka chuo kikafungwa. Serikali ipo na wakaguzi wapo, iweje wanaridhia mazingira kama hayo? Au ndo fasheni ya ufisadi? Eloi utusaidie
 
kupitia maandishi yako unajipambanua kuwa ni mwanatumaini hivyo nakupa pole kwa safari ndefu sana uliyonayo ya kujitambua binafsi na mazingira ya elimu ya bongo hususani hapo ulipo.
 
Jamani jamani nani atasaidia wanafunzi ktk chuo kikuu cha Tumaini kampasi ya Kurasini? Tusikimbilie neno UDINI. Mazingira ya kusomea ni mabaya sana hasa jioni. Ni vurugu mechi, kuna kwaya ya kanisa vyombo juu, wanamaombi nao sauti juu. Lakini la ajabu ni kuwa wanafunzi wanalipa ada 2.5M/= kwa mwaka. Walipojaribu kujitetea kwa kuhainisha mazingira yao mabovu, haraka chuo kikafungwa. Serikali ipo na wakaguzi wapo, iweje wanaridhia mazingira kama hayo? Au ndo fasheni ya ufisadi? Eloi utusaidie

maelezo zaidi
 
Hao Tumaini wana matatizo sana kwenye suala la utawala woote ni wababaishaji sana na bahili hata kuajili malecturer hawataki
 
Chuo cha Tumaini kweli kabisa ni wasanii sana, hata hao akina Lamwayi sijui wanafanya nini hapo. Yaani kimechuo chuo cha ajabu utafikiri siyo private institution. Kazi kwelui kweli
 
Back
Top Bottom