Nani anayetajwa na Mwenyekiti wa CCM Mwanza, Dkt. Diallo kwamba ana faili Hospitali ya Akili Milembe?

Huyo ni muathilika,
Kama ni jasiri angesema kipindi jiwe yupo hai.
Hana jipya!!!!!!!!!!!

Kauli yako inaviashiria vya unafiki.

Ni ani aliyethubutu kuuongelea utawala wa mwendazake alafu akaachwa hai.

Ben saa8 ni mfano mwema.
 
Dialo ana makando kando mengi sana huko Mwanza. Ni Nani asiemjua? Ni mhuni na pia ni anatuhuma nyingi tu za uovu pia. Sishangai
Aliwadhihaki wapiga kura wake 2015 wakampiga chini.
Watumishi wake wanalalamika hawalipwi mishahara.
Nimiongoni mwawatu wakwepa kodi mkubwa.
Saiz anaanza kutudanganya muhun mkubwa huyo alijua MAGUFULI anaangalia ukabila. Angekuwa shupavu angeongea wakati MAGUFULI alipokuwa hali ningempa 5.
 
hata kwenye interview ya kazi hutakiwi kimsema vibaya boss aliyepita. hawa viongozi mbona ni bogus sana. anaona anapatia kumbe ni mjinga tu.
 
hata kwenye interview ya kazi hutakiwi kimsema vibaya boss aliyepita. hawa viongozi mbona ni bogus sana. anaona anapatia kumbe ni mjinga tu.
Imeandikwa wapi usimseme aliyepita?Muache aseme ili waliopo wajirekebishe.Hiyo ya kusema marehemu hasimangwi imepitwa na wakati.
 
Acha uongo, mbona akina Membe,na Nape waliokuwa wanaongea.Diallo hafai kuwa Kiongozi kama ni mwoga kiasi hiki,inamaana Magufuri asinge kufa,angelifanyaje?Diallo ni fisadi tu anajulikana tokea akiwa maliasili,alikuwa wakisafirisha magogo na biashara nyingi ya magendo.magufuri aliwakomesha,nieli tungempata kichaa mwingine kama Magufuri, anayeweza kulinda na kutetea lasilimali za Watanzania
 
Uongo wangu ni upi mtumishi wa Bwana?Nimetoa mfano wa Lissu and the likes.Wengine hadi walifanya jogging wakajikuta wamevuka mipaka na hawakurudi hadi leo.Ulitaka Diallo awe msukuma wa kwanza kuwa mjinga?Kwanza hata wachawi wa kile Kijiji wangemloga.😝😝😝😝😝
 
By default Ni Jiwe
 
A.D katoa ya moyoni na lazima hisia zake ziheshimiwa.Tatizo kuna watu wanataka watu waseme uongo kwa marehemu ili kumpamba wakati ukweli unafahamika .Kwa mujibu wa imani yangu najua marehemu aliyo yafanya hawezi kupona na adhabu za kaburini na siku ya kiyama.Sasa hivi yupo anaogelea virungu huko.Namsapoti AD 100%

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
huyu kichaa sisi tunamwitaji sana , watoto wanasoma bure, kajenga zahati 7000 nchi nzima, kajenga mashule nchi nzima, watoto wetu wanakaa kwenye Madawati, wakina mama wanazalia kwenye vitanda, kuchaa kajenga meli maziwa yote , kajenga viwanda 200 vikubwa kasambaza umeme vijijini, kajenga reli ya umeme, kichaa huyu tunamhitaji kajenga bwawa la nyerere, kajenga barabara nchi nzima, kajenga barabara za juu ubungo tulikuwa tunakaa masaa 6 kuingia mjini kichaa huyu tunamhitaji kanunua ndege wakina mbowe wanapanda kwenda kumzika profesa bukoba, kajenga masoko makubwa dodoma , morogoro, kajenga stendi kubwa ya mabasi Afrika mashariki, tunamwitaji sana kichaa wa aina, wafanyakazi hewa wanao lipwa bila kufanya kazi kawaondoa tunamwitaji sana kichaa wa aina hii, aliye punguza wizi na rushwa na kuleta nidhamu kazini kichaa wa aina hii watanzania tuna mpenda sana tunamhitaji sana, alie kuwa anatumbua wazembe ,kichaa alie wafanya majambazi waache ujambazi wawe raia wema tunahitaji sana, kichaa alie tuomba tuombe Mungu kwa kufunga na kuomba corona ikatoeka tanzania. Tunakuhitaji sana. Mungu Kukumbuke umeweka Historia na Alama ktk taifa letu. kuna wa kufuta Mema yako .
 
Kama hafamu huyu Mzee Dialo aulize Kilichomkuta aliyewahi Kusema "CCM imepoteza uelekeo"
Huyo mzee habari yake iliishia Dodoma,hata watoto wake naona wametelekezwa huwezi kuwasikia kwenye teuzi zozote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…