Hata kama ni heshima ya pole kwa kufiwa lakini kwa umri alionao huyu babu alipaswa kweli kumpigia magoti huyu mama?
Ndallo,
Kwa makabila mengi ya Africa unapokwenda kwenye misiba lazima una-maintain heshima ya hali ya juu... Huwezi kumpa pole mfiwa ukiwa "upright" lazima una-bend au ukiweza unapiga magoti!
Hata kama ni heshima ya pole kwa kufiwa lakini kwa umri alionao huyu babu alipaswa kweli kumpigia magoti huyu mama?
Kwi kwiii Kwanza huyo mama ni nani? na Pia alifiwa na nani? na wana uhusiano gani na mheshimiwa? Ina maana anekuwa Quen Elizaberth kweli angemsujudia hivyo? Just thinkig aloud!
In a serious note kwetu sisi wanaopiga magoti ni wanawake tu (except kanisani wanaume tunapiga magoti). Mwanaume hata awe na miaka 5 akamsalimia mtu aidha mwanamke au mwanaume halafu akapiga magoti under any circumstances, kama ni mtoto siku hiyo atachapwa na hata kaa asahau maishani.
Lakini yapo makabila mengine nasikia wanaume wakisalimia wanapiga magoti! Kwetu hii ni aibu ya mwaka. Utaimbwa tarafa kama sio wilaya nzima.
Kwi kwiii Kwanza huyo mama ni nani? na Pia alifiwa na nani? na wana uhusiano gani na mheshimiwa? Ina maana anekuwa Quen Elizaberth kweli angemsujudia hivyo? Just thinkig aloud!
In a serious note kwetu sisi wanaopiga magoti ni wanawake tu (except kanisani wanaume tunapiga magoti). Mwanaume hata awe na miaka 5 akamsalimia mtu aidha mwanamke au mwanaume halafu akapiga magoti under any circumstances, kama ni mtoto siku hiyo atachapwa na hata kaa asahau maishani.
Lakini yapo makabila mengine nasikia wanaume wakisalimia wanapiga magoti! Kwetu hii ni aibu ya mwaka. Utaimbwa tarafa kama sio wilaya nzima.
Hata kama ni heshima ya pole kwa kufiwa lakini kwa umri alionao huyu babu alipaswa kweli kumpigia magoti huyu mama?