Nani anayemlipa Kubenea?

Nani anayemlipa Kubenea?

HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-

Nani anayemlipa Kubenea ?

- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali

-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi

- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.

View attachment 2412796
Halipwi anaelekezwa na mwenye gazeti kuandika anachokiandika.
 
HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-

Nani anayemlipa Kubenea ?

- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali

-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi

- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.

View attachment 2412796
Wewe si uendeleze gazeti lako la kupiga mapambio kwa majizi na watesi wa nchi? Zidisha mapambio labda utamshinda huyu mfichua waovu na majizi. Sitamsahau Kubenea na gazeti la mwanahalisi alipomfichua yule mpigaji wa kiongozi wa madaktari Dr Ulimboka. Hivi yuko wapi Ramadhani Ighondu? Yule TISS alipelekwa ubalozini Ramadhani Ighondu. GO Kubenea Goooooo!
 
HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-

Nani anayemlipa Kubenea ?

- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali

-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi

- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.

View attachment 2412796
Aliyekuwa anamlipa Miaka yote
 
Mi
HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-

Nani anayemlipa Kubenea ?

- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali

-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi

- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.

View attachment 2412796
Mimi ndio nayemlipa!!! Unasemaje sasa
 
Kwa nini ulikuwa hulisomi?
Tafadhali nijibu nijue reason behind kabla sijakuuliza swali la msingi maana wewe ni mwandishi mbobezi

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwa vile magazeti ni mengi sana, sisi sekta binafsi hatuwezi kununua kila gazeti, hivyo tunafanya selectivity ya kuchagua machache tuu ya kununua, mengine yote unaishia tuu kusoma headline, ikitokea kuna siku kuna headline that will interest you, then ndipo unanunua.

This is the same kwenye kuangalia TV na kusikiliza redio. Kuna TV siangalii, kuna redio sisikilizi.

P
 
Kwa vile magazeti ni mengi sana, sisi sekta binafsi hatuwezi kununua kila gazeti, hivyo tunafanya selectivity ya kuchagua machache tuu ya kununua, mengine yote unaishia tuu kusoma headline, ikitokea kuna siku kuna headline that will interest you, then ndipo unanunua.
This is the same kwenye kuangalia TV na kusikiliza redio. Kuna TV siangalii, kuna redio sisikilizi.

P
Jibu limetosha hakuna swali lingine tena

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-

Nani anayemlipa Kubenea ?

- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali

-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi

- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.

View attachment 2412796
Nani aliyekuwa anamlipa mwanaharakati huru?

Nani anamlipa Habib Tetere Mchange?
 
HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-

Nani anayemlipa Kubenea ?

- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali

-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi

- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.

View attachment 2412796
Nani alokiwa akimlipa mmiliki wa gazeti la Jamvi la Habari Bw. Cyprian Musiba? Ukimjua wala hautapata tabu na Kubenea.
 
Back
Top Bottom