The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Duh...!.
Bonge la promo kwa Raia Mwema!. Mimi nilikuwa silisomi, sasa nitalisoma.
P
Jenerali kaliuza? Kubenea ndio mmiliki sasa?
Duh...!.
Bonge la promo kwa Raia Mwema!. Mimi nilikuwa silisomi, sasa nitalisoma.
P
Mwanahalisi ndio nilikua nafikiri la Generali.Nilifikiri Raia Mwema ni la Jenerali Ulimwengu. Kumbe ni la Kubenea? 😳😳😳
Halipwi anaelekezwa na mwenye gazeti kuandika anachokiandika.HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
Wewe si uendeleze gazeti lako la kupiga mapambio kwa majizi na watesi wa nchi? Zidisha mapambio labda utamshinda huyu mfichua waovu na majizi. Sitamsahau Kubenea na gazeti la mwanahalisi alipomfichua yule mpigaji wa kiongozi wa madaktari Dr Ulimboka. Hivi yuko wapi Ramadhani Ighondu? Yule TISS alipelekwa ubalozini Ramadhani Ighondu. GO Kubenea Goooooo!HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
🤝🤝🤝🤝Kama umezoea kumsikiliza Baba Levo na Mwinjaku huwezi kumuelewa Kubenea hata siku moja..
Kwa nini ulikuwa hulisomi?Duh...!.
Bonge la promo kwa Raia Mwema!. Mimi nilikuwa silisomi, sasa nitalisoma.
P
Aliyekuwa anamlipa Miaka yoteHABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
Mimi ndio nayemlipa!!! Unasemaje sasaHABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
Kwa vile magazeti ni mengi sana, sisi sekta binafsi hatuwezi kununua kila gazeti, hivyo tunafanya selectivity ya kuchagua machache tuu ya kununua, mengine yote unaishia tuu kusoma headline, ikitokea kuna siku kuna headline that will interest you, then ndipo unanunua.Kwa nini ulikuwa hulisomi?
Tafadhali nijibu nijue reason behind kabla sijakuuliza swali la msingi maana wewe ni mwandishi mbobezi
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
mwanahalisi sasa kahamia Raia mwemaWe unauliza, Mwanahabari naye anauliza, na sisi mnaotuuliza tunatakiwa kuwauliza nyie kwa sababu ndiyo taaluma yenu kama waandishi kwahiyo sisi hatujui.
Jibu limetosha hakuna swali lingine tenaKwa vile magazeti ni mengi sana, sisi sekta binafsi hatuwezi kununua kila gazeti, hivyo tunafanya selectivity ya kuchagua machache tuu ya kununua, mengine yote unaishia tuu kusoma headline, ikitokea kuna siku kuna headline that will interest you, then ndipo unanunua.
This is the same kwenye kuangalia TV na kusikiliza redio. Kuna TV siangalii, kuna redio sisikilizi.
P
Aliyekuwa anamlipa miaka yote, tunamjua sasa hayupo!. Hapa anauliziwa anayemlipa sasa!.Aliyekuwa anamlipa Miaka yote
Nani aliyekuwa anamlipa mwanaharakati huru?HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
Ngosha ana PPR Media ,atakosa Tenda za Sabasaba/Nanenane/Makongamano ya serikali etcNa wewe ngosha, uwe unatoa habari
Ngumu kumeza
Ova
Nani alokiwa akimlipa mmiliki wa gazeti la Jamvi la Habari Bw. Cyprian Musiba? Ukimjua wala hautapata tabu na Kubenea.HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
View attachment 2412796
Una hakika hayupo?Aliyekuwa anamlipa miaka yote, tunamjua sasa hayupo!. Hapa anauliziwa anayemlipa sasa!.
P