Nani anayemlipa Kubenea?

Nani anayemlipa Kubenea?

We umeathirika vipi na hiyo habari fanya yako ndugu, Kubenea ni mwandishi wa habari za uchunguzi anatimiza wajibu wake kama mwandishi, kama kuna mtu ameonewa au kudhalilishwa kwa namna moja au nyingine mahakama ipo huru.
Hiii ni kauli ya ajabu, kuna kipindi Musiba naye alikuwa anachafua watu kupitia magazeti yake na watu walipokuwa wanahoji kauli kama hizi zilikuja. Sasa yamemfika Musiba hawakuonekana. Kutetea jamii siyo mpaka mtu anufaike personally kama shujaa Majaliwa kwa kupewa au kuonyesha atafaidikaje.
 
Back
Top Bottom