HABARI KUBWA KATIKA GAZETI LAKO PENDWA LA MWANAHABARI NI:-
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.
Nani anayemlipa Kubenea ?
- Anatumia GAZETI lake la Raia Mwema kuchafua viongozi mbalimbali
-Anaonekana kuwa na mwendelezo wa kutengeneza taharuki kwa taarifa za uongo kwa viongozi
- Wadau wazishangaa Mamlaka husika kwa kushindwa kumchukulia hatua stahiki kwa kutumia kalamu yake ya uandishi vibaya.