poromium
Karanga sisage halafu nyunyizia kidogo kamchuzi ka samaki changanya na cement upate uji mzito pembeni mtengee maji kidogo, hapati haja hadi kifo kutokana na tofali la block ulilolifyatua
Habari wanajamvi wenzake!
naomba kwa yeyote anayefahamu sumu ya kuua PAKA anijuze,kuna Paka wa mtaani wasio na makazi rasmi wananisumbua sana nyumbani kwangu kwani ni wezi wa mboga na wanaleta viroboto ndani,nimejaribu kuwategea sumu mbalimbali lakini hawafi
naombeni anauejua sumu yao inayopatikana kirahisi
Karanga sisage halafu nyunyizia kidogo kamchuzi ka samaki changanya na cement upate uji mzito pembeni mtengee maji kidogo, hapati haja hadi kifo kutokana na tofali la block ulilolifyatua