Nani anaweza kuufanya unyama huu

Nani anaweza kuufanya unyama huu

gwahe

Senior Member
Joined
Nov 24, 2014
Posts
147
Reaction score
84
Unafikiri kati ya mwanamke au mwanaume, nani anaweza kufanya unyama huu. Toa sababu.
 

Attachments

  • 1422292645668.jpg
    1422292645668.jpg
    48.9 KB · Views: 2,352
huyo atakua kajitia mwenyewe hapo...watoto wa kiume ni watukutu mno.
 
Labda ni kwa usalama zaidi, bila hiyo belt na barabara zenyewe hizi anaweza kusababisha ajali
 
Je unafikiri kwa sababu ya upendo wa mama juu ya mtoto wa kiume na ukizingatia mama amechoka. Na mtoto wa kiume anamsumbua huku akipenda kupanda kwenye hilo wheelbarrow. Njia pekee ni kumfunga ili asidondoke. Nafikiri mama naweza kufanya hivyo.
 
Unafikiri kati ya mwanamke au mwanaume, nani anaweza kufanya unyama huu?? To a sababu??

Mwanaume ndo anaeza kufanya unyama wa namna hiyo kwasababu anaamini hapo atakuwa amerahisisha kazi kwa kufunga mizigo yote pamoja. Mwanamke angembeba mwanake mgongoni.
 
Mleta hoja hii ndiye mnyama kabisa. Weye ulitaka mzazi amwache mwanaye aanguke?? Hayo ndo maisha bora kwa kiila mtz. Uwezo wa kukodisha p/up kumbebea mali zake alipokuwa anahama hana.
Maza mwenyewe ana watatu, yaani huyo kwenye torori anao wadogo zake wawili. Saa zimeenda na bila kutembea haraka watachelewa waendako. Ulitaka nini kifanyike?
Nasema sijauona unyama wowote hapo bali mawazo muruwa hayo. Mbona huulizi wale watoto wanao bembea kwa milango mpaka inakatika bawaba, nani alaumiwe, Fundi mlango? Baba mwenye nyumba au city kwa kuuza viwanja vya wazi?
Kila mtu atumie akili yake ya kuzaliwa kuwezesha mambo.
 
mana alitakiwa kubebwa mgongoni huyo, sasa jibu tumepata nani kaufanya huo unyama
 
ha ha ha kamewekewa hadi belt kwa usalama kenyewe katakuwa happy hapo lol
 
Back
Top Bottom