Nani anauza Toyota Vitz jamani

Nani anauza Toyota Vitz jamani

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,881
Reaction score
6,374
Wadau nahitaji gari aina ya Toyota Vitz (used)..

Kama kuna anayeuza naomba anicheck na aweke details kabisa. Ila plz isiwe imetumika sana na isiwe toleo la kizamani. Nataka toleo B..

Niko Dar kwa sasa.. Nikipata naanza nayo safari to Morogoro..

Natanguliza shukrani..
 
Mkuu unataka old model au new model? Kama old model ipo namba B bei 3.9m
 
Mkuu unataka old model au new model? Kama old model ipo namba B bei 3.9m

Unaweza kushea picha mkuu? Na hiyo bei inashuka hadi ngapi?
 
Poa nitakutumia, bei labda kukupunguzia ni elf 50, nikikutumia picha utaiona na utaikubali
Mbona hujanitumia mkuu? Nasubiri tufanye biz ikiwezekana leo hii. Na je uko Dar?
 
Aweke picha lakini mie ndio mteja niliyewahi.. Usije leta ujanja mkuu ukanizidi kete
Tulia mtoto mzuri kwa hio hela gari hio utaipata bila wasiwasi..wewe tulia kama unanyolewa.
 
Aweke picha lakini mie ndio mteja niliyewahi.. Usije leta ujanja mkuu ukanizidi kete
Ipo mwanza inataka 5.5M
ca0286229f917baf3911d764be31c262.jpg
00746c0ddc6c5bb8be3fc9f0df128385.jpg
664f19ab05184cdb9376fd2ad747e15c.jpg
 
Mkifanya biashara rudisheni marejesho jf humu
 
Mkuu mie nipo Dar, ila bajeti yangu ni 3.5M
Sio kwa gari hili,endelea kutafuta,ila kwa bei hiyo utapata gari itanidi uwe na urafiki na mafundi gari,maana kila mara utakuwa unakwenda waona
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom