Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,203
- 162,766
Ukiangalia mwenendo mzima wa sakata la Tegeta Escrow account,utagundua kuwa, kuna uwezekano mkubwa wa waziri mkuu ambae nae amekuwa akituhumiwa kupata mgao,kuwa implicated katika kashifa hii na hivyo kutakiwa kuwajibika.
Kuna viashiria kadhaa kuwa PM anaweza kutakiwa kuwajibika kwa kujiuzulu.
Mosi,Pinda ametajwa sana kupata mgao(sina uhakika) katika hili sakata na sidhani kama itakuwa ni uzushi tu maana siku zote mambo huanza hivi hivi na mwisho wa siku inageuka kuwa kweli.
Pili,imekuwa ikisemwa kuwa kashifa hii huenda ikaiangusha serikali na mh.Zitto pekee alikwenda mbali zaidi kwa kusema sakata hili linaweza kuangusha "tembo mkubwa".
Sasa mh.Zitto anaposema kashifa hii inaweza kumuangusha tembo mkubwa,hapo alikuwa anamlenga nani zaidi ya waziri mkuu?
Mbali na viashiria hivyo,jambo lingine linalomuweka Pinda katika wakati mgumu wa ku-survive kashifa hii na pia ku-survive vote of no confidence endapo tutafika huko,ni hatua yake ya kujiingiza katika kinyang'anyiro cha uraisi ndani ya CCM.
Kwa mtazamo wangu,wapinzani wake watatumia mwanya huo kummaliza kwa kuhakikisha(ku-facilitate) upigwaji wa kura hiyo na ikipigwa aondoke.
Sasa kwa utangulizi huo,ni dhahiri PM anaweza kuondoka kwa style ile ile ya mtangulizi wake unless ripoti hiyo ya CAG iandaliwe kum-favor(ichakachuliwe).
Je,endapo hayo yatatokea,unadhani ni nani anastahili/anafaa kumrithi Mizengo Pinda?
Kwa maneno mengine,kuna yeyote mwenye utendaji wa kukushawishi uamini kuwa anafaa kurithi mikoba ya mh.Pinda kutoka katika baraza la mawaziri la sasa?
Kumbuka,kwa mujibu wa gazeti la Nipashe la jana tarehe 08/11/2014,taarifa ya CAG inaweza kuwasilishwa kwa spika wiki hii inayoanza kesho na kisha ikapangiwa siku ya kuwa-tabled bungeni.
Kuna viashiria kadhaa kuwa PM anaweza kutakiwa kuwajibika kwa kujiuzulu.
Mosi,Pinda ametajwa sana kupata mgao(sina uhakika) katika hili sakata na sidhani kama itakuwa ni uzushi tu maana siku zote mambo huanza hivi hivi na mwisho wa siku inageuka kuwa kweli.
Pili,imekuwa ikisemwa kuwa kashifa hii huenda ikaiangusha serikali na mh.Zitto pekee alikwenda mbali zaidi kwa kusema sakata hili linaweza kuangusha "tembo mkubwa".
Sasa mh.Zitto anaposema kashifa hii inaweza kumuangusha tembo mkubwa,hapo alikuwa anamlenga nani zaidi ya waziri mkuu?
Mbali na viashiria hivyo,jambo lingine linalomuweka Pinda katika wakati mgumu wa ku-survive kashifa hii na pia ku-survive vote of no confidence endapo tutafika huko,ni hatua yake ya kujiingiza katika kinyang'anyiro cha uraisi ndani ya CCM.
Kwa mtazamo wangu,wapinzani wake watatumia mwanya huo kummaliza kwa kuhakikisha(ku-facilitate) upigwaji wa kura hiyo na ikipigwa aondoke.
Sasa kwa utangulizi huo,ni dhahiri PM anaweza kuondoka kwa style ile ile ya mtangulizi wake unless ripoti hiyo ya CAG iandaliwe kum-favor(ichakachuliwe).
Je,endapo hayo yatatokea,unadhani ni nani anastahili/anafaa kumrithi Mizengo Pinda?
Kwa maneno mengine,kuna yeyote mwenye utendaji wa kukushawishi uamini kuwa anafaa kurithi mikoba ya mh.Pinda kutoka katika baraza la mawaziri la sasa?
Kumbuka,kwa mujibu wa gazeti la Nipashe la jana tarehe 08/11/2014,taarifa ya CAG inaweza kuwasilishwa kwa spika wiki hii inayoanza kesho na kisha ikapangiwa siku ya kuwa-tabled bungeni.