Ndugu wana JF
Ni wazi kuwa kashfa hii ya Escrow itamlazimisha JK kubadilisha baraza lake la mawaziri kwa mara nyingine tena. Naomba tuanze utabiri wetu kama kawaida, nani na nani atakuwepo katika safu hii ya lala salama kuelekea uchaguzi mkuu 2015.
Mimi naanza hapa. Wengine endeleeni
1. Waziri mkuu- Prof Mwandosya
2.Nishati na Madini- Stephen Wasira
3.
4.
5.
6.
7.
Ni wazi kuwa kashfa hii ya Escrow itamlazimisha JK kubadilisha baraza lake la mawaziri kwa mara nyingine tena. Naomba tuanze utabiri wetu kama kawaida, nani na nani atakuwepo katika safu hii ya lala salama kuelekea uchaguzi mkuu 2015.
Mimi naanza hapa. Wengine endeleeni
1. Waziri mkuu- Prof Mwandosya
2.Nishati na Madini- Stephen Wasira
3.
4.
5.
6.
7.