pakamweupe
Senior Member
- Nov 6, 2014
- 136
- 23
Ndugu wana JF
Ni wazi kuwa kashfa hii ya Escrow itamlazimisha JK kubadilisha baraza lake la mawaziri kwa mara nyingine tena. Naomba tuanze utabiri wetu kama kawaida, nani na nani atakuwepo katika safu hii ya lala salama kuelekea uchaguzi mkuu 2015.
Mimi naanza hapa. Wengine endeleeni
1. Waziri mkuu- Prof Mwandosya
2.Nishati na Madini- Stephen Wasira
3.
4.
5.
6.
7.
Peleka utabiri wako huko si rahisi kihivyo unavyofikiria ndiyo maanamnashirikiana na mafisadi kuhujumu serikali ili baraza la mawaziri livunjwe na nyie mafisadi muweke watu mnaowataka ili muendelee kunyonya rasirimali za taifa letu tunajua wazi chini waziri mkuu PINDA kaminya mianya ya rushwa na ufisadi,Waziri wa Nishati na madini Prof.Muhongo kawashika pabaya mafisadi ndiyo maana nae wanahangaika kumuhujumu ili waweke mtu wao jamani viongozi na watendaji wa serikali ambao wanaonekana kuwa mwiba kwa mafisadi hapa nchini wanapigwa sana vita na mafisadi kwa kutumia wabunge wachumia tumbo,vyombo vya habari uchwara pamoja na magazeti navyo vinatumika kwa kiasi kikubwa na mafisadi katika kuwahujumu watendaji imara wa serikali mf.Magazeti ya Mtanzania,RAI,Mwananchi,The Citizen,Fahamu,Mawio,NIPASHE hayo ni baadhi tu ya magazei ambayo yanamilikiwa na wafanyabiashara hapa nchini kama Rostam Aziz,Reginard Mengi na wengineo ambao wamekuwa wakiyatumia kuwahujumu viongozi wa serikali ambao wamekuwa mwiba kwenye harakati zao kuhujumu rasirimali za Tanzania kupitia kwenye mikataba mibovu yenye manufaa kwa matumbo yao,familia zao na marafiki zao.