abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,422
- 2,301
Ukitaka ujue nan kashinda vita angalia Nan anae miliki anga Nan anae miliki Bandar
Boris katoka kwa kashfa zake zingine huko wala sio kwa sababu hiyo.Unajisahaulisha kuwa baada ya mkuu wa jesh la uk kutoa kauli ya kuwa tayar kwa jesh kimashambuliz haikupita wiki wazir mkuu akaanzishiwa zengwe mpaka akaachia ngazi
Umepuliza maswali ,nawe heshimu majibu ya wenzako.Naheshimu maoni yako ila nisamehe kukuambia hauna ujuzi wowote kuhusu medani, nomeshasema mwanzoni kama huna hoja pita pembeni. Hapa wanaitajika watu wanaojua ushandi wa medani unatafsiriwaje, wanaitajika watu wanaojua kwanini Russia alibadili mbuni na kuanza kutumia mizinga badala ya kuizunguka miji kwa haraka, kwanini anashambulia makazi ya watu, mashamba na viwanda. Please wajuvi njooni mtupe madini!
Achana nae, ndo maana mimi nimempuuza.Boris katoka kwa kashfa zake zingine huko wala sio kwa sababu hiyo.
Oh kuumbe! Hakuna su 35 yoyote iliyodondoshwa Ukraine zaidi ya rumours ziso na uhakika.Ngoja nichimbe kidogo na mimi kabla watu wa Facebook na Baikoko hawajaongezeka.
ok
ni hivi
1. Urusi imejijenga kiuchumi japo sio tishio huko duniani lakini uchumi wake ameuwekeza zaidi katika maswala ya kijeshi.
2. Kijeshi pia ipo vizuri huku akimkimbiza vizuri tu Mmarekani kwa ubunifu wa technologia za kibabe
3. maswala ya intelijensia pia kwani majasusi wa russia ndio walio sambaza formula za kutengeneza Atomic bombs zikafika russia na nchi zingine pamoja na mafanikio lukuki
Nikijikita tu katika uvamizi wa taifa la UKRAINE.
Urusi baada ya kuitwaa Krimea 2014 nilitegemea wangefanya ujasusi wa kutosha na kupiga gharama yakinifu kuliko kuingia kichwa kichwa na kupata athari zisizo tarajiwa ambazo ni mbaya
haikufanya intelijensia au ilifanya kwa uchache
matokeo yake sasa.
1. Mageneral wake wengi wakafia vitani
2. Vifaru vya kijeshi TANKS : zaidi ya 1500 kuangamizwa kabisa (irriperable)
ambapo thamani ya kifaru kimoja cha urusi aina ya T-90AM kinagharimu dola milion 4.27 sawa na bilion 9 tsh zaid ya vifaru 1500 kuangamizwa hio ni zaid ya dola 6000M zaid ya trilion 12 TSH.
3. Ndege za kivita Aircrafts 200
hapa tunaongelea ndege aina ya Sukhoi Su-35 flanker E ndege moja ya aina hii inagharimu dola milion 85 sawa na zaidi ya Tsh. 197+Bilion jumla ya hasara ya ndege hizi ni zaidi ya dola bilion 17 (TSH 40+ trilion)
3. Hasara ya Armoed vehicle 2500+ ,
troops 20000+ na helcopta Tusizipigie hesabu
4. Hasara ya wanajesh zaid ya 23000+ japo hivi vifo sio big ishu kwa russia maana urusi hua haithamin sana vifo vya wanajeshi nafkiri historia ya vita wanavyo pigana urusi mnaijua hasa kwenye swala la kupoteza askari wengi tangu WW2. na mara nyingi rusia wanashinda vita kwa wingi wa Askari. tuachane na tathmin za vifo hivi kwanza nikiweka wengi mtasema ni propaganda.
ila kwa faida tu ujue theluthi mbili ya jeshi la ardhini la russia lipo Ukraine na vita vinavyo endelea hakuna shabaha za kijeshi zinazo lengwa kwa sasa so ni mwendawazimu tu anayejua kua PUTIN atashinda hii vita.
5. Gharama za uendeshaji wa vita mishahara ya wafanya kazi penshen za wanao kufa vitani kwa familia Nk
6. Vikwazo na mali zikizokua freezed na zilizo taifishwa ni matrilion ya madolari
7. Kupoteza ushawishi wa kikanda na soko la silaha na bidhaa zingine kwa washirika wake tu kama india ni ma matrilion ya madolari pia.
Kwanza hata Ardhi yaje imeanza kushambuliwa pia wanijipigia hadi karibu na moscow halafu wanarudi. kesho tena
Ukraine imepoteza pia askari na miundombinu yenye thamani ya matrilion ya dola. lakini Mbwa kula mbuzi sio hadithi hadithi ni Mbuzi kula Mbwa.
.
Maeneo walio chukua russia yana mgogoro tangu 2014 na yalikua na udhibiti wa waasi kwa kiasi fulani. mafanikio makubwa ya rusia ni Mariupol napo ni baada ya kulipua mji wote.
Sasa Russia ili kushinda vita hivi njia pekee ni Nukes maana ujio wa HIMARS ni stori ambayo wengi hawapend kusikia.
now makombora mengi ya rusia yanatokea katika Nyambizi tu.
Source: Normal Millitary critical analysis[
Duh umeandika kws kujifurahisha kule Crimea kulikua na Little green men kazi yao ilikua ndogo TU kuiteka na kusimamia uchaguzi bila kero.Kwanza kabisa tutazame ni nini source ya vita?
Hii vita sio ya bahati mbaya ila ni vita ambayo ilitengenezwa, hasa na WESTERNS. Kwa upande wa pili, Russia tayari alijua ipo siku atakuja kupambana na NATO indirect way or direct way, kwahiyo na yeye alijipanga mno juu ya kupambana.
Miaka ya nyuma kuanzia 2012 au 14, UKRAINE alianza saidia misaada ya silaha na mafunzo kutoka mataifa ya Ulaya. Hii ilikuwa ni indicator ya kwanza kwa Russia kutambua kuwa Ukraine anajiandaa kupambana nae. Na yeye hakuwa na budi kujiandaa.
Sasa ni nini kilifanya Russia ajikite ktk hii vita, KGB ilifeli sehemu moja tu kwa Putin. Kumuaminisha Rais Putin yeye ni mfalme anayeogopwa zaidi hasa ktk misimamo mikali na kijeshi ulimwenguni. HAPA NDIPO WALIPOANZA KUFELI.
Kwanini alifeli hapo? Putin akatengenezewa mazingira aseme kuwa hii operation yoyote atakayeingilia atapotezwa kabisa. Alitegemea watu wangeshtushwa mno na hii kauli, na ni kweli walishtushwa na kuogopwa ila kwa bahati mbaya hii kauli ilikuwa ni upuuzi tu kwa westerns. Nia yao Westerns ni kumtaka Russia aingie vitani, na ni kweli kaingia, walimfanyaje ili aingie?
Putin alipoitamani CRIMEA, watu walicheza na akili yake, wakamruhusu aimege na kuichukua ili ajiome mwenye power nq hakuna wa kumgusa ili sasa aje aitamani Ukraine yote na asiwe mtu wa kumuingilia kama Crimea. Huu ni mtego ambao CIA walitaka Putin ajiaminishe zaidi. Kwa hapa Tz ni kama vile Mh Mpango alipopigwa na ule ugonjwa mpaka akanusurika kufa, watu wa kazi hawakutaka mpango afe, walijua Mpango ndo operator mkuu wa pesa wa jiwe, so ukigusa afya yake umegusa afya jiwe. Walijua kabisa mpango lazima apate support ya kiafya kutkka kwa jiwe, ni kweli kabisa, Dokta wa Jiwe akamtibu mpango na akapona, watu walitafuta TRUST ya Dokta kwa Jiwe kabla hawajamdondosha jiwe. Jiwe alipoanza kuumwa alimuamini mno Dokta wake sababu ndo mtu alimtibu mpango, hakuyaona mahesabu haya marefu. Daima watu mashujaa huwa wanaangushwa na mambo madogo mno, hata ktk vitabu vitakatifu kumbuka kuanzia Adam, Samson n.k
Putin alijiamini hivyo baada ya kumega Crimea, akajiona yeye ni untouchable na ulimwengu mzima hakuna mbabe zaidi yake, hakujua kuwa wenzie waliruhusu vile for a reason
Naendlea ...
Friendly fire Ni kawaida kabisa vitani , yaani changamoto ambayo so rahisi kuikwepa hutokea vitani kote ulimwenguni.Russia ndio huyo wenge kibao mpaka kajikuta terehe 21 anapiga SU-34M jet fighter la ukweli ye analipiga mwenyewe huo pia ni uwoga.
Ratiba zilikuwa ngumu kidogo nikawa naingia mara chache sana humu.Nilidhani ningekuta umepunguza mihemko yako kumbe bado tuUlikimbilia wapi kwanza


Sio mihemko ndo ukweli wenyewe huo ha ha ha ha ha haRatiba zilikuwa ngumu kidogo nikawa naingia mara chache sana humu.Nilidhani ningekuta umepunguza mihemko yako kumbe bado tu [emoji3
][emoji