Nani anasema Lissu anaichafua nchi?

Nani anasema Lissu anaichafua nchi?

Anayeichafua nchi hii bila kupepesa macho ni Rais John Pombe Magufuli kwa kupora haki za watanzania wengine kwa kujificha nyuma ya uzalendo hewa huku wale wenye mtazamo sawa na yeye kiitikadi akiwapendelea kwa
 
Hapana mkuu,hili jukwaa liliundwa special kwa Great thinkers. Humu sio sehemu ya kuleta hoja za kefesibuku hahahahahahah. Unaulizwa feedback za mkutano wa 23 January we unakuja na story za kuhamia Dodoma.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Great thinkers mtakuwa nyie walamba nyayo za viongozi wa serikali?
 
aahahahahah yeah kwel nimepata picha kwann Bashite hakuenda mahakamam coz hakuchafuliwa alielezwa ukweli
 
Hapana mkuu,hili jukwaa liliundwa special kwa Great thinkers. Humu sio sehemu ya kuleta hoja za kefesibuku hahahahahahah. Unaulizwa feedback za mkutano wa 23 January we unakuja na story za kuhamia Dodoma.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Kwani hilo swali aliulizwa nani? Au mimi ndiye niliyetakiwa kujibu?
 
Katika hoja zote zilizoko kwenye Uzi huu hujaona kabisa lenye kuhitaji maoni yako hadi ukaamua kucomment ujinga wa aina hii?
Kama uzi umeandikwa mengi,kwani kuna instructions kwamba ujadil hapa na hapa usijadili?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Sawa mkuu,ebu nipe mrejesho wa Lisu kuhutubia UN 23 January.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Kwenye Uzi huu hakuna habari ya Lissu kuhutubia UN, labda ulete Uzi wa swali lako hilo
 
Kama uzi umeandikwa mengi,kwani kuna instructions kwamba ujadil hapa na hapa usijadili?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Great thinker wa Lumumba una matatizo sana, hupaswi kutoa hoja nyepesi kama hiyo aliyotoa ngabu kwa Uzi ulioshiba fact kama huu
 
  • Thanks
Reactions: MTK
CNN plays in that same league; thus in essence the analogy that "CNN ni chombo kikubwa" is still correct and valid.

Kasema ni chombo “kikuu” cha habari nchini Marekani. Hakusema ni chombo kikubwa.

Kikuu na kikubwa ni maneno yenye maana tofauti.
 
Great thinker wa Lumumba una matatizo sana, hupaswi kutoa hoja nyepesi kama hiyo aliyotoa ngabu kwa Uzi ulioshiba fact kama huu
Mkuu unapoandaa desa na kuwapa great thinker wajadili jitaid kuwa SMART sio unaparasa parasa kama bata.Swali la Nyani Ngabu linalogic coz kauliza kutoka kwenye kilichoandikwa na kama hakikua na umuhim hicho kilichoandikwa basi hakikupaswa kuandikwa.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Kasema ni chombo “kikuu” cha habari nchini Marekani. Hakusema ni chombo kikubwa.

Kikuu na kikubwa ni maneno yenye maana tofauti.
As long as ujumbe umefika wewe endelea na kusahihisha sarufi na takwimu!
 
Back
Top Bottom