Nani anasema Lissu anaichafua nchi?

Nani anasema Lissu anaichafua nchi?

Anzisha uzi tutamjadili naye ila kwa sasa tujadili hili lililopo mezani. Kamanda lisu alihutubia UN?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Kwani huu uzi unahusu hotuba ya Lissu ya tr 23 au unahusu "nani aliyesema Lissu anachafua nchi?"

Kwanini na hilo la Hotuba na wewe usianzishie uzi ili ujimwayemwaye vizuri?
 
Kama hawataki "kuchafuliwa" basi wasitende maovu; wakiyafanya watu watayaona na watayaweka hadharani.
 
Kwani huu uzi unahusu hotuba ya Lissu ya tr 23 au unahusu "nani aliyesema Lissu anachafua nchi?"

Kwanini na hilo la Hotuba na wewe usianzishie uzi ili ujimwayemwaye vizuri?
Soma vizuri huo Uzi. Usikurupuke. Umeambiwa ataenda kuhutubia UN September. Lkn ukumbuke kabla la hili kulikua na taarifa ya kuhutubia UN 23 January na hadi leo hakuna feedback na haya yote yanamhusu lisu.So kuhoji feedback ya 23 January niko sahihi kabisa ila wewe kuhoji habar za kuhamia Dodoma kwenye huu uzi sijui reasoning capacity yako iko vipi. Vipi huna kaelimu hata kadogo kuhusu critical thinking?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Hata kwa kigezo cha jinsi Trump anavyopambana na CNN ni kiashiria tosha kwamba CNN ni chombo kikubwa sana cha habari Marekani or thereabouts! mleta mada hajakosea labda kama wewe sio mfuatiliaji wa mambo kama haya!

Mleta mada kasema CNN ni chombo kikuu cha habari Marekani. Huo ni uongo.

Hata kwenye cable tv news ratings CNN inapitwa hata na MSNBC.

Ya kwanza ni FOX News. FACT.

Sasa sifuatilii mambo gani?
 
CNN ni kituo kikuu cha habari nchini Marekani?

Nyie makamanda acheni utani bana🤣
Kwahiyo hilo ndio jambo pekee la muhimu uliloliona kwenye uzi wote huo uliosheheni facts??

Meaning that, huna HOJA kabisa kwenye huu uzi..

Bwege la Lumumba wewe...

Umeshindana na jingalao and the group mpaka umekuwa kinara wao wa WAPUMBAVU wa Lumumba.
 
Propaganda kutoka Ufipa. Erythrocyte alikuja na Desa lake la LISU kuhutubia UN 23 January. Nyumb****walikata mauno sana humu ndani na kuna baadhi ya vijiwe huko mtaani story zilikua hizo.23 Jan imepita hakuna hata nyumb ******* aliyehoji kamanda lisu vipi huko UN?Leo wameletewa desa na Malisa kuhusu Mkutano mwez September hao tena wameanza kuzungusha viuno. Washasahau kuwa kuna habari kama Hii nyuma kidogo na hakuna feedback. HAWA WATU UKIWAITA NYUMB***** UNA MAKOSA?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Stay tuned , si kila jambo utapewa ufafanuzi hadharani
 
Mleta mada kasema CNN ni chombo kikuu Marekani. Huo ni uongo.

Hata kwenye cable tv news ratings CNN inapitwa hata na MSNBC.

Ya kwanza ni FOX News. FACT.

Sasa sifuatilii mambo gani?
mbona unateseka mkuu , kisa nini ?
 
Soma vizuri huo Uzi. Usikurupuke. Umeambiwa ataenda kuhutubia UN September. Lkn ukumbuke kabla la hili kulikua na taarifa ya kuhutubia UN 23 January na hadi leo hakuna feedback na haya yote yanamhusu lisu.So kuhoji feedback ya 23 January niko sahihi kabisa ila wewe kuhoji habar za kuhamia Dodoma kwenye huu uzi sijui reasoning capacity yako iko vipi. Vipi huna kaelimu hata kadogo kuhusu critical thinking?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Unadhani JF ni ya nyinyi wasomi tu? Hata sisi Memkwa tunahaki ya kuperuzi na kuhoji yanayojiri.
 
Unadhani JF ni ya nyinyi wasomi tu? Hata sisi Memkwa tunahaki ya kuperuzi na kuhoji yanayojiri.
Hapana mkuu,hili jukwaa liliundwa special kwa Great thinkers. Humu sio sehemu ya kuleta hoja za kefesibuku hahahahahahah. Unaulizwa feedback za mkutano wa 23 January we unakuja na story za kuhamia Dodoma.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Back
Top Bottom