Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,134
- Thread starter
- #21
Bongo ni Zaid ya burdaan, Kila mtu anajifanya alikuwa karibu na eneo la Tukio, naskia askari wa kitasha walikuwa wanawahi Maiti za kizungu na kuacha majeruhi weusi!
Watu wangapi walikuwepo kwenye tukio unaowajua wewe na humu ni watu wangapi tumedai kuwepo kwenye tukio? Hebu fanya ulinganifu kidogo........kama thread haikupendezei kaa kimya au post "napita tu" kama ilivyo mila yetu hapa JF