mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
Wakuu heshima kwenu.
Ukiangalia sura ya elimu ya taifa letu inatia kinyaa. Wanafunzi wanafundishwa juu juu sana na eti sera ya elimu inalazimisha wafaulu kwa wingi.
Lugha ya kufundishia ni kiswahili.
Hakuna mkazo wa kusoma science kwa undani na utafiti. Hakuna bidii ya kina kuwafananisha watanzania na wa nje.
Mitihani nayo imekaa kisiasa sana. Muundo mpya wa elimu nao upuuzi tuu bado hakuna nia ya dhati ya kuwapa elimu ya kweli watanzania.
Nani ananufaika na huu ujinga wa watanzania?
Ukiangalia sura ya elimu ya taifa letu inatia kinyaa. Wanafunzi wanafundishwa juu juu sana na eti sera ya elimu inalazimisha wafaulu kwa wingi.
Lugha ya kufundishia ni kiswahili.
Hakuna mkazo wa kusoma science kwa undani na utafiti. Hakuna bidii ya kina kuwafananisha watanzania na wa nje.
Mitihani nayo imekaa kisiasa sana. Muundo mpya wa elimu nao upuuzi tuu bado hakuna nia ya dhati ya kuwapa elimu ya kweli watanzania.
Nani ananufaika na huu ujinga wa watanzania?