Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 4,833
- 7,372
Unejibiwa kwa vifungu vya biblia, unataka jobu lipi tena!? Biblia ina jibu la kila swali.A matter sio kusoma bible.
Hoja zangu nilizouliza sijajibiwa hata Moja
Unejibiwa kwa vifungu vya biblia, unataka jobu lipi tena!? Biblia ina jibu la kila swali.A matter sio kusoma bible.
Hoja zangu nilizouliza sijajibiwa hata Moja
Unafanya comparison ya Jesus na kina Kapola, hahaThats not my job. It took a long period for the disciples to understand jesus teachings. Vipi kuhusu kizazi hiki itakuwaje?
Vidada.vinavyovaa vimini vinamuelewa Sana jamaa.Unafanya comparison ya Jesus na kina Kapola, haha
I am done with you ila a word of advice, hata kama mmeamua mfate watu before imani, make sure at least mna reason basic concepts about their teachings.
Acheni undezi undezi.Zaburi 105:15
Don't harm my chosen servants; do not touch my prophets."
Sasa ni hivi, that is a command. Refer kitabu cha hesabu 12
Aroun na miriam wakiwa wanamuongea vibaya Musa.
So be careful ukiwa unaongea vibaya dhidi ya watumishi wa Mungu
Kwanini wiki chache Tony alitolewa unabii na Uebert Angel as hamfahamu then leo hii ionyeshe wanafahamiana kitambo?Anaitwa Antony Kapola
Ana Masters ya Cyber security
Mkewe ana PhD.
Ana kanisa lake Morogoro ndiyo. Ila ana semina karibia Mikoa mingi. Kote huko ulipopataja. Halazimiki kubaki hapo Morogoro
Kanisa lake lipo chini ya Ministry ya Eubert Angel, huyo nabii anaiyemuita baba.
Unaweza kumtafsiri Eubert kama tapeli, ila taifa lake linamuona wa maana. Anasaidia kupooza makali ya vikwazo vya kiuchumi.
Hata sisi watu wa Kalambo na Namanyere tunahitaji aje kueneza injili.Kama mwalimu kama mwakasege sawa.
Ila kama mchungaji inabidi uache kuzurura ukae uchunge kanisa lako.
Watu wake wa morogoro wanachungwa na nani?
Anafuata Hela tu kutwa Dad,dodoma si aende njombe ,iringa ,ruvuma
A brainwashed individual on the 1&2, huyo ni tapeli tu kama kina Mwamposa, Taifa lililojaa wajinga ndio linakuwa na watu wa aina hiyo. Birds of the same feathers.......Anaitwa Antony Kapola
Ana Masters ya Cyber security
Mkewe ana PhD.
Ana kanisa lake Morogoro ndiyo. Ila ana semina karibia Mikoa mingi. Kote huko ulipopataja. Halazimiki kubaki hapo Morogoro
Kanisa lake lipo chini ya Ministry ya Eubert Angel, huyo nabii anaiyemuita baba.
Unaweza kumtafsiri Eubert kama tapeli, ila taifa lake linamuona wa maana. Anasaidia kupooza makali ya vikwazo vya kiuchumi.
Anapofanya Mahubiri yake huwa anakufuata Chumbani Kwako na Kukushikia Panga au Jiwe la FATUMA Kukulazimisha uende Kanisani Kwake Ukaabudu au uwe Unamfuatilia na Kumsikiliza?Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola.
Kanisa lake liko wapi ?
Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma
Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ?
Inakuaje ameungana na hawa manabii wa uongo matapeli wa zimbabwe ?
Kwanini asiende Kalambo, Namanyere, Kasanga, Iguguno au Balangdalalu?Acha wivu tafuta hela. Wamissionari walitoka huko mpaka huku kutafuta kondoo
Yesu hakutulia mji mmoja alizunguka sana
Na aliagiza ya kwamba ENENDENI ULIMWENGUNI KOTE... sasa wewe unasoma biblia ukiwa umetumia aina gani ya kikevi mpaka usielewe jambo dogo hilo?
EXACTLY MKUUMathayo 7:6 BHN
“Msiwape mbwa vitu vitakatifu wasije wakageuka na kuwararua nyinyi; wala msiwatupie nguruwe lulu zenu wasije wakazikanyaga
hapa mbwa na nguruwe ni watu wanaoishi kila siku mnaonana nao na wanapost ktk mitandao ya kijamii lakini sio watu ni mbwa na nguruwe.
Mtu wangu unaangamia kwa kukosa maharifa hahahahaahahKizazi cha nyoka kinapingana na injili ya kristo. Haha haha haha hahah hahah hahah halafu wanajiona wanauliza maswali ya hekima kumbe ni upumbavu machoni kwa Mungu.
Hahaha haha haha haha haha
Really? @mimihamadiwenani njoo ufumbue funbo la farasi hukuMpenzi wangu, nimekulinganisha Na farasi katika magari ya Farao.
Mashavu yako ni mazuri kwa mashada, Shingo yako kwa mikufu ya vito.
1Tutakufanyizia mashada ya dhahabu, Yenye vifungo vya fedha.
Kupambanisha?????? Nipe mstari wa mspsmbano kupanishaAhsante.
Umenifurahisha watu wa Mungu.
Kuhoji sio dhambi.
Biblia imeturuhusu kuzipambanisha roho.
Kapola namfahamu kiasi. Na huu ndiyo ukweli.Anaitwa Antony Kapola
Ana Masters ya Cyber security
Mkewe ana PhD.
Ana kanisa lake Morogoro ndiyo. Ila ana semina karibia Mikoa mingi. Kote huko ulipopataja. Halazimiki kubaki hapo Morogoro
Kanisa lake lipo chini ya Ministry ya Eubert Angel, huyo nabii anaiyemuita baba.
Unaweza kumtafsiri Eubert kama tapeli, ila taifa lake linamuona wa maana. Anasaidia kupooza makali ya vikwazo vya kiuchumi.
Hakuna chuki ila n ukweli.Chuki ni sumu.
Title za elimu ni sehemu ya kujimwambafai tu, ni kama wengi wanaojiita Ma-Dr.Duuh sina hata 2% ya mafanikio yake. 🤣
Ila nilisikia ni law graduate mbona? 😎