😂😂 majogoo noma sanaSisi LiverpoolFC wao Wana tutambua zaidi
Kweli kabisa, hasa gatuso.Mashabiki wa Man U pekee hawataisahau
Ila jogoo liliwanyoosha sawiaKwenu wahenga nani ana kumbukumbu na hawa miamba wa Italy AC Milan, ilikua ya moto kweli kweli
View attachment 1657787
Na yeye si alinyooshwa miaka 2 mbele na kikosi hiki hiki
Kabla ya hapo ilikuwepo ya 1992 mpaka 1995 ambayo mwaka 94 ilimpiga Barcelona 4 bila ikiwemo na wachezaji watatu waliokuwa wakipokezana uchezaji bora ulaya Frank Rijcard, Van basten na Rud Guilt huku ikiwa na ukuta wa chumaKwenu wahenga nani ana kumbukumbu na hawa miamba wa Italy AC Milan, ilikua ya moto kweli kweli.
View attachment 1657787
Tena dakika 90Na yeye si alinyooshwa miaka 2 mbele na kikosi hiki hiki
Kaka aliwavuruga balaaaMashabiki wa Man U pekee hawataisahau
Kwenu wahenga nani ana kumbukumbu na hawa miamba wa Italy AC Milan, ilikua ya moto kweli kweli.
View attachment 1657787
Hao waholanzi wa3 walikuwa moto wa kuotea mbali ,, sema Marco van basten majeruhi yaliwahi kumuondoa lkn dunia ingeshuhudia mengi kwa mwamba huyo.Kabla ya hapo ilikuwepo ya 1992 mpaka 1995 ambayo mwaka 94 ilimpiga Barcelona 4 bila ikiwemo na wachezaji watatu waliokuwa wakipokezana uchezaji bora ulaya Frank Rijcard, Van basten na Rud Guilt huku ikiwa na ukuta wa chuma