Don Carlo anapoturejesha AC Milan ya 2004-2007

hamis77

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,642
19,018
Moja ya makocha ambao wakimuona mchezaji kwenye mazoezi hata siku moja tu wanajua ana weakness na strength zipo Ni kocha Don Carlo ,chini ya Carlo wamepita wachezaji wengi walioenda kubeba Ballon d'Or ,

Jude Bellingham akiwa BVB na akitumika National team Uingereza alikuwa anacheza Central Midfield , either kulia au kushoto , hakuwa na impact kubwa kiasi hicho, nakumbuka World cup Kuna mechi alikuwa ndani ya dakika 45 anatolewa ,au ilikuwa bila kumchezesha na Viungo wawili wakabaji ,Kama Rice na Henderson alikuwa anateseka Sana


June Calafat anamleta Madrid chini ya Don Carlo , anamuangalia session moja ya mazoezi Kisha anaturudisha kwenye ile AC Milan ya 2005-2007 ,alipokuwa anatumia mfumo wa 4-3-1-2 kwa waitaliano wanauita TREQUARTISTA, @Gangchomba atakuwa anaelewa Nini nazungumza


Role anayocheza Jude Bellingham,Don Carlo ndio alimtumia Ricardo Kaka pale Ac Milan miaka ya 2004-5

Waitaliano wanaita Trequartista kwa kiingereza "three quarters" kiswahili Robo tatu

Trequartista is a playmaker who operates behind the front line but in front of the midfield.


AC Milan ile ,Don Carlo alikuwa anamtumia Ricardo Kaka Kama Trequartista na mwisho Kaka alitwaa Ballon d'Or 2007.

Sasa ameirudisha ndani ya Madrid akimtumia Jude Bellingham tofauti na alivyokuwa anatumika alipotoka,

A typical trequartista will possess great creativity and agility, as well as boasting an envious passing range, ball control and eye for goal.

Mifano ya trequartistas ni Diego Maradona, Juan Roman Riquelme, Kaka, Totti, Wayne Rooney, and Zinedine Zidane.


Kumekuwa na mijadala mingi ya kumfananisha Jude Bellingham na wengineo Kama Gavi ,n.k but ni makosa makubwa sababu Jude kwasasa anatumika Role tofauti na Kina Gavi wanaocheza zaidi Central Midfield.


END.

By Mchambuzi nguli
images.jpg
 
Huyu Carlo akiwa kwenye benchi unamuona kabisa hana presha hata akifungwa, nadhani ni miongoni mwa makocha wachache sana wanaojua kuusoma mchezo Kwa haraka na wanaojiamini, unaweza kudhani ana mbinu za kizamani lakini zinafanya kazi vizuri na kukupa matokeo hata kama timu haijacheza vizuri, huyu akifanya sub basi kocha mpinzani awe makini sana...kujiamini kwake, mbinu zake, kumjua mchezaji ni vitu vya kujifunza Kwa makocha wote duniani ambao wanatamani kufika juu.
 
Huyu Carlo akiwa kwenye benchi unamuona kabisa hana presha hata akifungwa, nadhani ni miongoni mwa makocha wachache sana wanaojua kuusoma mchezo Kwa haraka na wanaojiamini, unaweza kudhani ana mbinu za kizamani lakini zinafanya kazi vizuri na kukupa matokeo hata kama timu haijacheza vizuri, huyu akifanya sub basi kocha mpinzani awe makini sana...kujiamini kwake, mbinu zake, kumjua mchezaji ni vitu vya kujifunza Kwa makocha wote duniani ambao wanatamani kufika juu.
Anakwambia siku hizi hashangilii Wala Hana presha sababu ameshaona na kukutana na matokeo mengi ya kushangaza
 

Dah hili kosi hatari sana! Japo wengi wao hapo sijawashuhudia lakini nimefuatilia mitandaoni mambo yao, na angalau kizazi cha namna hiyo nimekishuhudia mwishoni mwishoni.

Zamani soka lilikuwa tamu sana, na lilikuwa na watu wa kazi haswa! Siku hizi limevamiwa na masharobaro hata misuli hawana, hata kupiga shuti golini hadi wafike ndani ya sita. Kazi kupiga breach nywele, kuvaa hereni, kusuka na kula bata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya makocha ambao wakimuona mchezaji kwenye mazoezi hata siku moja tu wanajua ana weakness na strength zipo Ni kocha Don Carlo ,chini ya Carlo wamepita wachezaji wengi walioenda kubeba Ballon d'Or ,

Jude Bellingham akiwa BVB na akitumika National team Uingereza alikuwa anacheza Central Midfield , either kulia au kushoto , hakuwa na impact kubwa kiasi hicho, nakumbuka World cup Kuna mechi alikuwa ndani ya dakika 45 anatolewa ,au ilikuwa bila kumchezesha na Viungo wawili wakabaji ,Kama Rice na Henderson alikuwa anateseka Sana


June Calafat anamleta Madrid chini ya Don Carlo , anamuangalia session moja ya mazoezi Kisha anaturudisha kwenye ile AC Milan ya 2005-2007 ,alipokuwa anatumia mfumo wa 4-3-1-2 kwa waitaliano wanauita TREQUARTISTA, @Gangchomba atakuwa anaelewa Nini nazungumza


Role anayocheza Jude Bellingham,Don Carlo ndio alimtumia Ricardo Kaka pale Ac Milan miaka ya 2004-5

Waitaliano wanaita Trequartista kwa kiingereza "three quarters" kiswahili Robo tatu

Trequartista is a playmaker who operates behind the front line but in front of the midfield.


AC Milan ile ,Don Carlo alikuwa anamtumia Ricardo Kaka Kama Trequartista na mwisho Kaka alitwaa Ballon d'Or 2007.

Sasa ameirudisha ndani ya Madrid akimtumia Jude Bellingham tofauti na alivyokuwa anatumika alipotoka,

A typical trequartista will possess great creativity and agility, as well as boasting an envious passing range, ball control and eye for goal.

Mifano ya trequartistas ni Diego Maradona, Juan Roman Riquelme, Kaka, Totti, Wayne Rooney, and Zinedine Zidane.


Kumekuwa na mijadala mingi ya kumfananisha Jude Bellingham na wengineo Kama Gavi ,n.k but ni makosa makubwa sababu Jude kwasasa anatumika Role tofauti na Kina Gavi wanaocheza zaidi Central Midfield.


END.

By Mchambuzi nguli
View attachment 2796775
Nachompendea karlo Huwa hapanic!

Elclasico ya juzi alimkataza viniciors junior kupanic pale madrid walipokua nyuma goli moja!!

"Cheza mpira kijana acha kupanic" baada ya kusukumwa hadi nje ya uwania!!

Madrid akaibuka kidedea!!
 
Moja ya makocha ambao wakimuona mchezaji kwenye mazoezi hata siku moja tu wanajua ana weakness na strength zipo Ni kocha Don Carlo ,chini ya Carlo wamepita wachezaji wengi walioenda kubeba Ballon d'Or ,

Jude Bellingham akiwa BVB na akitumika National team Uingereza alikuwa anacheza Central Midfield , either kulia au kushoto , hakuwa na impact kubwa kiasi hicho, nakumbuka World cup Kuna mechi alikuwa ndani ya dakika 45 anatolewa ,au ilikuwa bila kumchezesha na Viungo wawili wakabaji ,Kama Rice na Henderson alikuwa anateseka Sana


June Calafat anamleta Madrid chini ya Don Carlo , anamuangalia session moja ya mazoezi Kisha anaturudisha kwenye ile AC Milan ya 2005-2007 ,alipokuwa anatumia mfumo wa 4-3-1-2 kwa waitaliano wanauita TREQUARTISTA, @Gangchomba atakuwa anaelewa Nini nazungumza


Role anayocheza Jude Bellingham,Don Carlo ndio alimtumia Ricardo Kaka pale Ac Milan miaka ya 2004-5

Waitaliano wanaita Trequartista kwa kiingereza "three quarters" kiswahili Robo tatu

Trequartista is a playmaker who operates behind the front line but in front of the midfield.


AC Milan ile ,Don Carlo alikuwa anamtumia Ricardo Kaka Kama Trequartista na mwisho Kaka alitwaa Ballon d'Or 2007.

Sasa ameirudisha ndani ya Madrid akimtumia Jude Bellingham tofauti na alivyokuwa anatumika alipotoka,

A typical trequartista will possess great creativity and agility, as well as boasting an envious passing range, ball control and eye for goal.

Mifano ya trequartistas ni Diego Maradona, Juan Roman Riquelme, Kaka, Totti, Wayne Rooney, and Zinedine Zidane.


Kumekuwa na mijadala mingi ya kumfananisha Jude Bellingham na wengineo Kama Gavi ,n.k but ni makosa makubwa sababu Jude kwasasa anatumika Role tofauti na Kina Gavi wanaocheza zaidi Central Midfield.


END.

By Mchambuzi nguli
View attachment 2796775
Ni mapema sana
 
Paqueta alifeli Milan (trequartista) akabahatisha Lyon, now epl Kawa wa kawaida. Juda iskariote kashafanya mabalaa bundles, now la Liga na national team anaendeleza moto kwahiyo kusema ni kiungo wa kawaida ni disrespect
 
Moja ya makocha ambao wakimuona mchezaji kwenye mazoezi hata siku moja tu wanajua ana weakness na strength zipo Ni kocha Don Carlo ,chini ya Carlo wamepita wachezaji wengi walioenda kubeba Ballon d'Or ,

Jude Bellingham akiwa BVB na akitumika National team Uingereza alikuwa anacheza Central Midfield , either kulia au kushoto , hakuwa na impact kubwa kiasi hicho, nakumbuka World cup Kuna mechi alikuwa ndani ya dakika 45 anatolewa ,au ilikuwa bila kumchezesha na Viungo wawili wakabaji ,Kama Rice na Henderson alikuwa anateseka Sana


June Calafat anamleta Madrid chini ya Don Carlo , anamuangalia session moja ya mazoezi Kisha anaturudisha kwenye ile AC Milan ya 2005-2007 ,alipokuwa anatumia mfumo wa 4-3-1-2 kwa waitaliano wanauita TREQUARTISTA, @Gangchomba atakuwa anaelewa Nini nazungumza


Role anayocheza Jude Bellingham,Don Carlo ndio alimtumia Ricardo Kaka pale Ac Milan miaka ya 2004-5

Waitaliano wanaita Trequartista kwa kiingereza "three quarters" kiswahili Robo tatu

Trequartista is a playmaker who operates behind the front line but in front of the midfield.


AC Milan ile ,Don Carlo alikuwa anamtumia Ricardo Kaka Kama Trequartista na mwisho Kaka alitwaa Ballon d'Or 2007.

Sasa ameirudisha ndani ya Madrid akimtumia Jude Bellingham tofauti na alivyokuwa anatumika alipotoka,

A typical trequartista will possess great creativity and agility, as well as boasting an envious passing range, ball control and eye for goal.

Mifano ya trequartistas ni Diego Maradona, Juan Roman Riquelme, Kaka, Totti, Wayne Rooney, and Zinedine Zidane.


Kumekuwa na mijadala mingi ya kumfananisha Jude Bellingham na wengineo Kama Gavi ,n.k but ni makosa makubwa sababu Jude kwasasa anatumika Role tofauti na Kina Gavi wanaocheza zaidi Central Midfield.


END.

By Mchambuzi nguli
View attachment 2796775
Hicho kikosi cha Milan sio mchezo.
 
jamaa ni wakawaida sana, anasaidiwa sana na Carlo, Carlo akibadili mfumo tu jamaa hana tofauti na Henderson
 
Back
Top Bottom